Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Mlima iwambi, pana mteremko mrefu malori huwa yanafeli breki sasa chakushangaza hili eneo halifanyiwi ukarabati badala yake kila mwaka hawa watu wa mbeya pamoja na makanisa yao mengi huwa wanawaita machifu na wazee wa kimila ili kufanya tambiko.
Sio stori jana tarehe 26 kwanzia asubuhi sa 3 barabara ilifungwa kwa saa 2 kupisha zoezi la tambiko.
Imagine tatizo ni mteremko mkali na ubovu wa magari ndio chanzo cha ajali lakini wenyewe wanafanya tambiko.
Duuuh selikari zetu

Zina maajabu mengi machifu na wachungaji wanafanya ibada sehemu moja
 
aaah home mwaisa, mlima loleza nimeupanda sana tangu mwaka 2004 (form II), 2005 (form III) na 2006 nikiwa form IV pale Nazarene Sec School, tulifurahia sana jamani, kila jumamosi tulikuwa tunapanda mlimani tukiwa na mziki, tukifika juu huko tunaweka mziki tunaanza kucheza. Wanafunzi wa shule mbalimbali jamani 😀 😀
 
Picha ya Mt. Loleza haijatenda haki. Hii hapa nilipiga mimi last December nikiwa barabara ya Mbeya Day-Magereza. Imekua wallpaper kwenye PC yangu ever since.

269813042_4848775878476612_2390404145898522187_n.jpg
 
Picha ya Mt. Loleza haijatenda haki. Hii hapa nilipiga mimi last December nikiwa barabara ya Mbeya Day-Magereza. Imekua wallpaper kwenye PC yangu ever since.

View attachment 2370027
kuhusu loleza mimi nilipiga picha hii mwaka 2018 kutoka kwenye view ya dirisha la hotel niliyofikia. ilikuwa around december, ila nashangaa sijui kwanini mlima ulikosa ile greenish yake iliyozoeleka

hii picha niliwahi ku share kwenye kwenye page yangu kule instagram. kwasasa picha haipo public, nime archive.
IMG_20220927_224122.jpg
 
Mashetani yake yalikuwa jau
ali stick na watu wa pwani kwasababu they were weak, too religious, loyal hence easy to rule.

nyerere aliogopa sana kuji involve na watu kutoka ktk strong tribes/communities. alihisi wangekuja kumpindua.

refer to what he did to kambona, tumtetemeke sanga and the likes.
 
kuhusu loleza mimi nilipiga picha hii mwaka 2018 kutoka kwenye view ya dirisha la hotel niliyofikia. ilikuwa around december, ila nashangaa sijui kwanini mlima ulikosa ile greenish yake iliyozoeleka

hii picha niliwahi ku share kwenye kwenye page yangu kule instagram. kwasasa picha haipo public, nime archive.
View attachment 2370075

Hapo ni Floor ya pili pale Holiday Hotel! Vyumba safi kwa 20k Mbeya maisha poa sana
 
Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.

Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.

Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.

Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.

View attachment 2369893

Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.

Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.

Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902

Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.

Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.

View attachment 2369911View attachment 2369914
Tumogheleee Green City[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.

Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.

Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.

Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.

View attachment 2369893

Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.

Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.

Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902

Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.

Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.

View attachment 2369911View attachment 2369914
umesahau matema beach,samaki mbasa na mbelele,na kijito flani huko ileje cjui,ukikiruka kinapanuka unazama,na ndo kwaheri,,,maji moto kilambo nk
 
Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri.

Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi.

Mbeya kuna mandhari ya kuvutia. Kuna vivutio kibao vya utalii, kama kona ya taifa, hii ni bonge ya kona, iko kwenye barabara ya lami itokayo Cape Town Afrika ya Kusini kwenda Cairo Misri kupitia Chunya kwa Masache Kasaka a.k.a Man Kasa mbunge wa Lupa Chunya.

Hii ni picha ya kona ya Taifa, iliyopigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga, mpishi anaye andika na kupiga picha.

View attachment 2369893

Kivutio kingine ni ziwa Masoko.
View attachment 2369896
Hili ni ziwa lililoko mlimani, crater lake. Ziwa hili limekaa mithili ya lulu ipatikanayo kwenye samaki aina ya chaza (Oysters). Lulu hiyo kwa Kinyakyusa huitwa pearl.

Mbeya imejaaliwa bwana, pia juna ziwa Kisiba, ziwa la msituni. Ziwa hili liko kwenye msitu asilia, ile misitu inayojulikana kwa jina la rain forest. Hutojuta kabisa kufika mahali hapa.
View attachment 2369898
Kwa wanaopenda kuoanda milima, Mbeya ni mahali sahihi kabisa kwa burudani hiyo. Kuna mlima Loleza, huu ni mlima mzuri sana na rahisi kupanda na wala hauko mbali na mji.

Shule ya sekondari ya wasichana ya Loleza ilipewa jina hili kwababu iko chini ya Mlima Loleza.
Picha hii ilipigwa na Fadhy, Fadhili Mtanga ikionyesha mlima Loleza unavyoonekana ukiwa Mwanjelwa, pale mahali ambapo soko liliungua. Nimepamiss sana home.
View attachment 2369902

Mlima Rungwe, mlima huu una urefu wa meta 2,981. Mlima huu uko wilayani Rungwe. Unakaribishwa sana kutembelea mkoa huu, wenye neema nyingi za kutosha.

Picha mbili zikionesha mandhari tofauti za mlima Rungwe.

View attachment 2369911View attachment 2369914
Uko sahihi kabisa!
 
Back
Top Bottom