Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Wale Jamaa wa mihemko na kujitutumua wakiongozwa na yule mropokaji Mwabukusu wameangukia pua huko Mbeya.
Mahakama imesema mkataba ni halali na akili zao finyu ndio hazielewi 😂😂😂😂
Ni mjinga pekee ndie ataeshangilia hukumu hiyo!! Ulitegemea Mahakama iende kinyume na serikali kweny hili? Judge huyo hajazaliwa bado!!