Akibadilika watamrudisha. Kuna video yake nyingine kaongea hovyo sana kwamba yeye anazaa tuu kulea watajua mama zao. Kama kiongozi wa wananchi anakosea japo ni mtu peace sanaalikuwa na msaada mkubwa saana kwa vijana hasa bodaboda na bajaji
Weka data kamiliTulia Ackson popote ulipo kunywa soda baridi, nakuja kulipa
Usiwasikilize hao mataga Sugu kachukua jimboWeka data kamili
Nilijua Tu hayo yatakuwa ni matarumbeta ya kijaniUsiwasikilize hao mataga Sugu kachukua jimbo
Mbeya tushamaliza kazi mkuuHai waziri mkuu mtarajiwa chali, hahahaaah! bado kawe arusha mjini na mbeya
Hai waziri mkuu mtarajiwa chali, hahahaaah! bado kawe arusha mjini na mbeya
Mmemaliza kazi ya kujaza kura feki, now mnashangilia ushindi wa kutengeneza kama mazuzu!.Mbeya tushamaliza kazi mkuu
waulizeni mawakala wa CHADEMA kama kuna kura fekiMmemaliza kazi ya kujaza kura feki, now mnashangilia ushindi wa kutengeneza kama mazuzu!.
kyindi na kimpumu saizi yake mkuu soda wape wanaeTulia Ackson popote ulipo kunywa soda baridi, nakuja kulipa
Mawakala wenu si walikuwepo vituoni au?Mmemaliza kazi ya kujaza kura feki, now mnashangilia ushindi wa kutengeneza kama mazuzu!.
Kwa nini speculation nyingi badala ya fact?Kama Sugu kashindwa Mbeya kihalali kabisa
Mkuu hii ni Kweli!!Sisi tuko huku.....View attachment 1615178View attachment 1615179
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Huko Mbeya Shule ya msingi ina matokeo ya Kata nzima?Hiyo ni kata.. Usijitoe ufahamu...
Aliyeulizwa Swali kapanicumreuliza vizuri mkuu
Hip hop hailipi kabisa now days πππVituo vingi tu sugu kapigwaa kwa kula touti ya mamia, pengine kapata 30 kabisa
Bora kushangilia mwizi kuliko kushangilia shoga..Kuna watu wana tembea unadhani wazima kumbe ni matahira unashangiliaje wizi wa kura