Ongea kama mwanaume wewe. We Unadhani kila mtu ni muoga kama wewe matak........o.UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Huyo jamaa NuksiPeleka huko shetani wewe! Hata aliyefanya madhambi haya ulimsifia kwamba anakubalika kwa 100% na wananchi
Wiki iliyopita ilikuwa afungwe maisha hakimu akasanda, asante sn MUNGU wetuNatoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
Kwamba wewe ni mke wa mdude unamjua sanaMdude sasa hivi kazi yake itakuwa ni kusifia Samia tu
Tuweke mkaa wa mawe juu yake na kuuwasha MotoSasa Mwendazake tutamshitaki vipi?
Paka jingine hiliAtakuwa na adabu sasa!
Hutaona tena yale matusi aliyokuwa anataukana!
Kwa muda aliaokaa ameshanyooka kama rula
Kwa hio mlitengeneza kesi feki kama mia tano hivi kuwakomoa CHADEMA na sio ku deal na wavunja sheria in GENERAL?Write your reply...SAMIA ANAZIDI KUCHAFUA LEGACY YA MAGUFULI ILI KUWAFURAHISHA MAJAMBAZI CHADEMA
Sasa hivi Mdude ataamkia hadi watoto! Hutaona tena akimtukana raisAibu nyingine kwa mwendazake.
Mataga Pori mtaambia nini watu??
Mbona hakutiwa hatiani kwa kutukana?Kiwanda Cha matusi kipo huru.
Ndio maana baadhi ya madhehebu wanachoma maiti ili mbaya aende na ubaya wake kwenye MoshiYeye ndiye alikuwa akizitengeneza hizi kesi za kumbambika.
Mahakimu wanaamrishwa tu.
Nadhani tukachape kaburi, kuonesha hisia ama? 🤣 🤣 🤣. Kwa kinachoendelea, sishangai kusikia kwamba mama alitaka kujiuzulu at one point kwenye utawala uliofitinika.Tuweke mkaa wa mawe juu yake na kuuwasha Moto
Kumpa Dikteta 'Vidonge' vyake imekuwa Uhaini tokea lini? Mataga kweli mumechanganyikiwa🤣🤣😂UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na akiona hata unga wa dona tu anapita mbali km 10Mdude sasa hivi kazi yake itakuwa ni kusifia Samia tu