Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, mke wa elitwege huyo, ila anashobokea sana wanaume wengine, may be jamaa hamridhishiKwamba wewe ni mke wa mdude unamjua sana
Umeanza vizuri umemalizia kama Instagram,yaani watu wajichukulie sheria mkononi kisa Mdude? Kweli kabisa unasema hayo ukimaanisha au wewe unao watu ambao tayari umewa tambua kama watesi wake? Kama jibu ni ndio,si uende mahakamani sasaNatoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
Nxa wajinga wenzake wakampa likes za kutosha ila alipoenda rumande wakala kona wote
nyie ndo walewale unajisifia kutukana yakikukuta wanaibuka wapumbavu wenzio wanaanza kushinda mahakamani kukutetea eti umeonewa mbwa nyyieAdabu anaishika na ma wako mpumbavu wewe
Naona umebadili gia angani baada ya kustuka kuwa marehemu hatafufuka tena. Atawale mpaka mataga akili ziwakae sawaMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
HallelujahNuru imerudi Tanzania.
Glory to God.
wanafiki sana chadema ushaona Mbowe anatukana? lakini yeye matusi mpaka anatia kinyaaNa wajinga wenzake wakampa likes za kutosha ila alipoenda rumande wakala kona wote
Jipeleke tu hata wewe unamtoshaHuyu kijana ningezaa mtoto wa kike ningempea
Peleka udini wako kwa mumeo huko huko chumbani kwenuAwamu zote zinazoongozwa na Waislamu zinakuaga saafi Sana na Zina furaha Sana sijajua kwa Nini yaaani. Kwani huko makanisani huwa mnafundishwa kitu gani
Jambazi mamakoWrite your reply...SAMIA ANAZIDI KUCHAFUA LEGACY YA MAGUFULI ILI KUWAFURAHISHA MAJAMBAZI CHADEMA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi akipitia yale matusi kwenye account yake atakuwa anajuta sana!wanafiki sana chadema ushaona mbowe anatukana? lakini yeye matusi mpaka anatia kinyaa
Mama anawajua wote chawa wa dhalim, hatoi teuzi za kimalaya malaya endelea tu kudangaMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta