Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Huko motoni KATILI anachomwa .....ni moto wa volcano.......
 
Natoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani

Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
Msianze kubetua mabega huyo kijana anapaswa apewe elimu nzito aache tabia zake za matusi.

Akirudia tena imekula kwake mazima.
 
Sasa hapo umma umehusikaje?

Hoja ni ushahidi kukosekana hakuna cha nguvu ya Mungu wala ya umma.
Ushahidi umekosekana vipi na polisi walidai wamemkamata live na kitu cha kwa Pele, au sasa ndiyo wamepima wakagundua ni glucose?
 
Atakuwa na adabu sasa!

Hutaona tena yale matusi aliyokuwa anataukana!

Kwa muda aliaokaa ameshanyooka kama rula
Mtu kama wewe ungekuwa zile enzi za kutafuta Uhuru na kina Mwalimu Nyerere tungetawaliwa mpaka leo.
 
UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Adabu anaishika na ma wako mpumbavu wewe
 
Hata wewe hapa ukikosa adabu ukaja na lugha zako za kijinga mods wanakushughulikia!

Mdude baada ya hapo hutaona akitukana hovyo tena
1624875351592.png
 
Magufuli lazima awe kuni za kuchoma washenzi wenzake huko aliko
Mdude hutamuona akitukana watu hovyo tena!
.

Hata wewe hapa ukileta lugha zako za kikwenu lazima mods wakushughulikie
 
Back
Top Bottom