Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Umoja ni kitu muhimu sana na kipekee niwapongeze Bavicha na Chadema kwa ujumla kwa namna walivyompigania Mdude Nyagali mwanzo mwisho na leo yuko huru.

Nategemea UVCCM na CCM kwa ujumla mtaiga " roho ya Upendo " kutoka kwa wenzenu wa Chadema ili mumpiganie komredi Ole Sabaya aliyeko magereza au Lupango.

Nawasalimu kwa jina la JMT!

Unaonaje wakiiga roho hiyo ya upendo kuipigania nchi dhidi ya wadhalimu wote?
 
CCM ni wanafiki na waoga, hawawezi kufanya hivyo! Wenyewe wanajali matumbo yao tu! Kuna yule kijana wa UVCCM Mara alijaribu hilo, mikwara aliyopigwa now katulia kimyaa.

CCM mara nyingi wanaangalia upepo wa Rais na Mkiti unaenda vipi then nao wanasonga nao. Hushangai mzee wa Msoga anavyopata wageni kila siku hizi siku za karibuni?
 
Huwezi ukafananisha Udhalimu na Uanaharakati.
1624876001086.png
mwana harakati huru huyoanatumia uhuru wa kutoa maoni yake
 
UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Roho inakuuma sana Mdude kuachiwa huru eeh? Mlivyozoea kuonea watu, sasa hivi haki inatendeka roho zinawachomoka!! Agents wa Shetani kabisa!!!
 
Tuliwaambia ni kesi fake mkawa mnapiga kelele kwamba tunaingilia Uhuru wa mahakama

Ila jiwe uko alipo malaika waongeze magogo na kukoleza moto aungue milele kabisa
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
We hujielewi kabisa! Issue wala sio CCM au CHADEMA. Kama haki inatendeka ndani ya jamii hata CCM ikitawala milele hakuna tatizo.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom