HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa wewe usiye na mkia! huna chembe ya ubinadamu! Kaa mkao wa kuliwa tunakutafuta! huwezi kutoa upuuzi huu tukakunyamazia!!UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya.
Mpaluka Mdude Nyagali alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020.
Mdude ni Mwanaharakati na Mwanachama wa CHADEMA ambaye alitumia muda mwingi kuikosoa Serikali ya Awamu ya Tano iliyokuwa ikiongozwa na Hayati John Magufuli. Mdude anajitambulisha kama mpiganiaji uhuru wa kujieleza na uhuru wa kuwepo mdahalo wa kisiasa.
View attachment 1833490
Pia soma
- Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi
na mtaendelea kuliwa tu huyo kishaliwaa hadi anatembea upande upande na atakuwa ameshazoewa sasahivi ni bwabwa la mtaani ili mkomeMbwa wewe usiye na mkia! huna chembe ya ubinadamu! Kaa mkao wa kuliwa tunakutafuta! huwezi kutoa upuuzi huu tukakunyamazia!!
ndoyo muone alivyokuwa chizi huyo mwenzenu na mlikuwa mnamshangiliaAshitakiwe kwa matusi si kwa kesi za uongo
Aliemnyoosha kaishia kufa yeye, ila hii dunia[emoji119][emoji119][emoji119]Hutaona mdude akitoa lugha za nyumbani kwao tena! Kanyooshwa kawa kama rula
Hasira zote ni Mumeo kufananishwa na malaya? Ulikuwa unadhani uko peke yako?ndoyo muone alivyokuwa chizi huyo mwenzenu na mlikuwa mnamshangilia
Your days are numbered you idiots! Mwendazake ni lazima tuhakikishe mnafuata jini mwenzenuna mtaendelea kuliwa tu huyo kishaliwaa hadi anatembea upande upande na atakuwa ameshazoewa sasahivi ni bwabwa la mtaani ili mkome
Tuanzishe kampeni ya kuwazomea mataga wasiopenda kuona haki ikitendeka.masikini mataga pori roho imewauwa mmeumbuka 🤣 🤣 🤣
Tumemfahamu jina kuwa ni hakimu aliyetenda haki kwa kesi ya kumbambika tena iliyokuwa ya kisiasa.Angehukumiwa kwenda Gerezani basi muda huu Hakim angekuwa anajadiliwa vikali lakin Kwa kuwa kaachiwa huru hakuna hata anayefaham jina la hakimu. Tatizo CDM wanapenda sana kuonewa huruma
Pale alikuwa anateswa kila usiku anahamishiwa selo ya peke yake halafu anapigwa usiku kucha unasema sio mateso?Pale alienda kunyooshwa siyo kuteswa
Shetani hana rafiki, unayefuatia ni wewendoyo muone alivyokuwa chizi huyo mwenzenu na mlikuwa mnamshangilia
Hii nchi ilikuwa imeoza kabisa,sasa unajiuliza hizo mtu mnasema mmempekua mmekuta madawa nyumbani Kwake,leo hana hatia!Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya...
Inaelekea una uzoefu wa kupakuliwa samadi! Kwa hiyo kuvimba kwako nyuma kumesababishwa na kupigwa mitarimbo kila siku?na mtaendelea kuliwa tu huyo kishaliwaa hadi anatembea upande upande na atakuwa ameshazoewa sasahivi ni bwabwa la mtaani ili mkome
Bangi ya Malawi ya wapi umevuta?Natoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe na RPC wa Mbeya , Biswalo Mganga (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.