Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Mshaurini akae kimya tu...kila mtu anajua wazi ya kwamba mahakama imemfutia mashtaka, hivyo hakuwa na hatia hapo awali (alionewa tu)

Hizo habari za kwamba atatema nyongo, bahati mbaya Herode aliyehusika kumsweka ndani kwa sasa hayupo, yupo Heredo mpya ambaye "pengine" kahusika kumfanya awe huru...
Nyongo lazima itemwe ili wote waliotumika waanikwe , walitumika wakidhani anayewatuma ataishi milele , litakuwa somo kwa wajinga wengine
 
Wanatumikia siasa chafu, huku wezi wamejiunganishia bomba la mafuta na hakuna lolote wamefanywa!
Sasa utawala wako huu wa sheria baada ya dhalimu wako kufariki kwanini usiwamabie wachukue hatua?
 
Namna alivyoiwasilisha utadhani ni Wapigania uhuru wa zamani kama Kwame Nkrumah au Nelson Mandela , ama labda unaweza kudhani ni Mmarekani Mweusi Martin Luther , Hakika huyu kijana anacho kipawa fulani ndani yake , hebu Msikilize mwenyewe

View attachment 1833730
ujinga huanzia hapo kujifananisha na watu wa nje kama hamna cha kujivunia ndani...mwambie aoe na kupunguza lala na malaya itakuja mcost zaidi ya kuwekewa madawa 🙂
 
Maendeleo hayana chama jaman na mniombee ili hata nikichukuliwa na mungu aseme ww ulikua unafanya vzr sn duniani ili niwe hata kiongozi wa malaika
 
Wanaelewa hawa watoto basi?
Tayari anajiona kapata mtaji wa kisiasa...
Kumbe tayari Hali ya hewa ilishabadilika..
Jamaa katoka kwa sababu ya utawala uliokuwepo sio kama ule.

Asijione shujaa sana bali ni rehma za mola tu yeye kuwa nje,aambiwe kwamba huku nje mambo yamebadilika,mambo ya sasa yanaenda kistaarabu japokuwa kuna mapungufu.

Asianze tena matusi yake kuwatukana watu wanaoweza kumzaa alafu ni viongozi,akienda kwa mfumo huo hatofika mbali atapitea.

Watu wengine wanatiwa adabu sio kwa sababu ni upinzani,bi ni kwa sababu ya kauli zao za kipuuzi na zenye kukera kwa wengine.

Jamaa ajifunze kuwa ma kauli za kiungwana anapikuwa mpinzani.

Kuwa mpinzani peke yake ni hatari,sasa mtu anaongeza hatari nyingine ya kuongea maneno yasiyofaa ili viongozi iwaume.

Mwishowe ni kupotea mazima kwenye ulimwengu wa siasa
 
Eti hotuba kama ya Martin Luther king Jr. Mashuuuz jazz band. NYUMBU kibano kitawatafuna vilevile. Mmepewa likizo fupi na mama . Mwenyewe kasema mpeni time anyooshe uchumi kabla hajawageukia
Mm! Kumbe uchumi ulikunjwakunjwa na na Nani vile ......
 
Jamaa katoka kwa sababu ya utawala uliokuwepo sio kama ule.

Asijione shujaa sana bali ni rehma za mola tu yeye kuwa nje,aambiwe kwamba huku nje mambo yamebadilika,mambo ya sasa yanaenda kistaarabu japokuwa kuna mapungufu.

Asianze tena matusi yake kuwatukana watu wanaoweza kumzaa alafu ni viongozi,akienda kwa mfumo huo hatofika mbali atapitea.

Watu wengine wanatiwa adabu sio kwa sababu ni upinzani,bi ni kwa sababu ya kauli zao za kipuuzi na zenye kukera kwa wengine.

Jamaa ajifunze kuwa ma kauli za kiungwana anapikuwa mpinzani.

Kuwa mpinzani peke yake ni hatari,sasa mtu anaongeza hatari nyingine ya kuongea maneno yasiyofaa ili viongozi iwaume.

Mwishowe ni kupotea mazima kwenye ulimwengu wa siasa
Mbinu za Magufuli za kudhibiti wapinzani zilikuwa za kiboya sana
 
Dogo atafakari kama alikuwa sahihi
Kuchezea sharubu za Iddi Amin na kama
Angeozea jela bila Mungu kuleta nafuu angejilaumu vipi?Familia yake ingeumia vipi?..

Usilete ushujaa kugombana na chizi alieshika bunduki sokoni....kaponea chupuchupu ashukuru Mungu..kina Saanane familia zao zinalia...
Hii ndiyo sababu ya uwepo wa Mungu. Yupo ilikuviinua vidhaifu na kuvishusha mpaka chini vijiinuavyo vyote.
 
Dogo atafakari kama alikuwa sahihi
Kuchezea sharubu za Iddi Amin na kama
Angeozea jela bila Mungu kuleta nafuu angejilaumu vipi?Familia yake ingeumia vipi?..

Usilete ushujaa kugombana na chizi alieshika bunduki sokoni....kaponea chupuchupu ashukuru Mungu..kina Saanane familia zao zinalia...
Mababu zetu wangekuwa na akili km zako mpaka tungeendelea kutawaliwa na wakoloni.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mababu zetu wangekuwa na akili km zako mpaka tungeendelea kutawaliwa na wakoloni.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu kumbuka hapa hatupigani na wakoloni,hapa ni sisi kwa sisi.

Kijana wa kitanzania lazima awe na adabu na hesima na kauli ambazo sio za kifedhuli kwa waliomzidi umri hata cheo pia sisemi mtu ambaye amekusanya hayo yote mawili
 
Lakini mimi hainihusu.

Nimeshauri tu bwana huyu awe muungwana na heshima.
unadhani kwanini kabla ya Magufuli mdude hakuwepo ? ukileta udikteta tutakupinga bila huruma , hatutanyamaza , ukiwa muungwana tutakuheshimu , hatutakubali kuburuzwa kamwe !
 
Back
Top Bottom