Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

Kawetele imehamia Uyole! Mlima Itezi na mdogo sana kwa Kawetele na hali zake za hewa zinatofautiana sana.
 
Tubaliki TZ tusamee makosa yetu
Mungu aisamehe Nchi yetu,

Mungu aisamehe viongozi wetu,

Mungu atusamehe wananchi, mmoja Mmoja.

Dhuluma isiwepo nchini, Haki itawale katika Taifa,

Wananchi,viongozi wasimwage Damu isiyo na HATIA kupata utajiri fake, madaraka, nk nk.

Viongozi waheshimu Sanduku la kura.

Mungu aisamehe Nchi yetu. Tupate mvua ya wastani, atuepushie na majanga.
 
Amiin 🤲
 
""BUNJI""
NURU YA KIWETELE

Poleni sanaaa
 
Huyu bata angeenda tu hana faida yoyote kwenye hii nchi zaidi ya laana
Faida anayo!
Unajua ni wangapi wanakula, wanavaa, wanasoma kupitia yeye?
Wangapi amewasaidia?
Ushajiuliza wangapi wanamtegemea?
Faida hana kwako ila kwa wengine anayo faida..!
 
Faida anayo!
Unajua ni wangapi wanakula, wanavaa, wanasoma kupitia yeye?
Wangapi amewasaidia?
Ushajiuliza wangapi wanamtegemea?
Faida hana kwako ila kwa wengine anayo faida..!
Lucas anaishi Bado Kwa mamake😀
 
Faida anayo!
Unajua ni wangapi wanakula, wanavaa, wanasoma kupitia yeye?
Wangapi amewasaidia?
Ushajiuliza wangapi wanamtegemea?
Faida hana kwako ila kwa wengine anayo faida..!
Huyo ni Laana kwa namna yoyote! Au ndio wewe una account nbili?

Anayoyashadadia humu mtandaoni unayajua?

Inatakiwa tuwe na sheria kwamba ukifanya ufisadi uuawe au ukishadadia ufisadi ufungwe.

Wewe chawa umenielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…