Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Ya kuambiwa, changanya na yako.Haya yanayotokea leo wewe huwezi kuona athari zake. Ila jua kuwa visasi huwa vinatengenezwa kwa style hii. Wewe ni mtu mzima unaelewa ila unajitoa akili ili tu uonekane kada mtiifu.
Eti ushahidi?! Unafahamu maana ya kubambikiwa?Una ushahidi amebambikiwa wewe?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kufanya siasa ni kosa katika nchi hii?Hapa ndo napochukia kujiingiza kwenye mapambano ya siasa...unaiacha familia yako inahangaika wew unaenda kunyea debe...kwani angetulia tu angepungukiwa nini?
Kaka kila uzi upo, kuwa na soni bhana duu!Huyo kijana anawazazi wanaomshauri?
Kutukuna watu bila sababu ndio kusema kweli? Mbona viongozi wake wa chadema hawatukani watu (unavyodai kusema kweli)ukichaa wake ni kusema ukweli?
Kufanya siasa ni kosa?Haya ndiyo yale ninayosema kila siku, ukiamua kupambana na serikali basi hakikisha unajimudu sawasawa although unataka kufurahisha washikaji zako basi usije taka huruma ya jamii, maana lolote linawashwa kama hivyo.
Aisee..Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine.
Mbowe kakuharibu mbele nyuma?Mbowe ni muharibifu. anawatumia sana vijana wa kitanzania kusafirisha madawa ya Kulevya. Wako wengi sana .....nao watakamatwa tu.
Umejuaje, na wewe unakuwa na aina ya akili kama bia yao?wapo na wanamshauri vizuri sana sema vijana wa chadema hawasikilizi wazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimzibe mdomo hili ni jukwaa huru Kama kila Uzi yupo ulimuonaje Kama na wewe haupo? Kwani Kuna ukomo wa kuwa kwenye nyuzi?Kaka kila uzi upo, kuwa na soni bhana duu!
Inafika mahali hata wengine tukiona comment zako tunaona aibu japo hatukukoment sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa la kutukana ni kubambika dawa.Kutukuna watu bila sababu ndio kusema kweli? Mbona viongozi wake wa chadema hawatukani watu (unavyodai kusema kweli)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mngemfungulia kesi ya makosa aliyoyafanya. Mpeni kosa la kutukana, kukebehi, kukashufu etc.
Gram 23.4 ?? Mbona in kodogo sanaKada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine.
Afike mbali mara ngapi tayari kashafikishwa kizimbani, na kwa mujibu wa hilo shtaka hakuna dhamana. Kwahivyo moja kwa moja mahabusu.Pole yake lakini kiuhalisia huyu jamaa Hana ustalabu .Huwezi kukosoa viongozi was ngazi za juu kwa matusi na kuwazalilisha.Uanaharakati ufanyiwe kwa kukosoa kwa hoja.Namfam vizuri huyu jamaa Hana maadili.Mhimu anatakiwa ajifunze ajenge hoja vizuri akifanya hivo kisiasa atafika mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala siyo tishio kiasi hicho, mtatunga mengi. Swala ni moja ngoja disciplinary system Imfundishe nidhamu!Eti wameambiana kuwa wamuue halafu waseme ni corona gerezani