Ndio nakwambia kuna baadhi ya walimu wamevamia fani sio wote kwa hio waangaliwe kwa jicho la ndani, mwingine hata hana passion na ualimu ilibidi awe magereza huko akajikuta yupo shuleni kwa hio kinachofuata mtamuelewaNi kweli wanafunzi ni watukutu ila adhabu ziangalie utu wa wanafunzi,
Adhabu nyingi zinazotolewa zinakiuka hadi za binadamu.
Hakuna mwalimu mnyanyasaji bali wanafunzi ndio changamoto.Hakuna Mwalimu anaenyanyasa mwanafunzi ambae sio mtukutu ingawa kuna shule nilisoma kuna Mwalimu alikua anaitwa Ngozie Ila sio Mwalimu by profession maana alikua ana fani ya fine arts alikua hana fani ya ualimu hata cheti Cha ualimu alikua hana akapewa ukuu wa shule yule alichokua anakifanya alikua anajua mwenyewe, kwa hio walimu wachunguzwe ni walimu by profession au kuna kingine hapo wamevamia fani za watu
Tatizo umalaya umekithiri sana mashuleni,Wamuache tu
Ni vile yeye tu kibao kimemuangukia
Ila kuna walimu wenzie wengi tu wanaotoa adhabu kali sana kuliko hata yeye.
Wamuache Ila apewe onyo matoto ya watu akae nayo mbali fundisha maliza sepa usianze kuleta malezi unawafanya watoto wa kwako yatakutokea puani siku hizi mtoto wa mtu sio wako we mpe elimu akachukua sawa asipochukua basi atafundishwa kwaoWamuache tu
Ni vile yeye tu kibao kimemuangukia
Ila kuna walimu wenzie wengi tu wanaotoa adhabu kali sana kuliko hata yeye.
Kweli kabisa,unawaacha wafanye watakavyo.Hakuna mwalimu mnyanyasaji bali wanafunzi ndio changamoto.
Ifikie hatua walimu wafundishe ya darasani wakimaliza haoooo.
Nashukuru nilisoma shule ambayo ni gvnt,walimu wanakuja kufundisha darasani,ukitaka uingie ukitaka baki bwenini,fanya kila unaloweza uhuru kama wote mwisho wa siku kila mtu alivuna alichokipilanda na kila mbuzi alikula kwa urefu wa kamba yake.
Azaboy Mambo vp?Hakuna Mwalimu anaenyanyasa mwanafunzi ambae sio mtukutu ingawa kuna shule nilisoma kuna Mwalimu alikua anaitwa Ngozie Ila sio Mwalimu by profession maana alikua ana fani ya fine arts (mchoraji) alikua hana fani ya ualimu hata cheti Cha ualimu alikua hana akapewa ukuu wa shule yule alichokua anakifanya alikua anajua mwenyewe, kwa hio walimu wachunguzwe ni walimu by profession au kuna kingine hapo wamevamia fani za watu
YahWamuache Ila apewe onyo matoto ya watu akae nayo mbali fundisha maliza sepa usianze kuleta malezi unawafanya watoto wa kwako yatakutokea puani siku hizi mtoto wa mtu sio wako we mpe elimu akachukua sawa asipochukua basi atafundishwa kwao
Umejuaje?
Hapo wamefanya Makusudi wamkomoe mwalimu hiki kizazi sio kabisaMwalimu ajulikanaye kwa jina la Sabina Haule amewapa adhabu wanafunzi wake wa shule ya msingi kwa kuwafungia darasani usiku kucha wakipigwa na baridi huku yeye akienda kulala nyumbani na mume wake. Adhabu hii imedumu kwa muda sasa hadi pale wazazi walipoenda kulalamika kwa mkuu wa mkoa, ndugu Homela.
Baaada ya wazazi kumpa taarifa RC alifanya ziara ya kushtuka shuleni hapo usiku wa manane ambapo aliwakuta wanafunzi hao wakipigwa baridi huku wakiwa hawana blanketi za kujifunika wala nguo za kuwakinga na baridi. Ndipo mkuu wa mkoa alipochukua jukumu la kuvunja mlango na kuwakoa wanafunzi waliokuwa wakitetemeka kwa baridi kali ya usiku.
Kufuatia tukio hili, RC amewaomba wanafunzi kuwa na nidhamu kwa walimu huku akiahidi kumshughulikia mwalimu aliyehusika na tukio hili hasa ukizingatia wanafunzi waliolazwa darasani bado ni watoto wadogo. Aidha, aliwashauri walimu kutoa adhabu kwa wanafunzi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni. Ikumbukwe wiki iliyopita mwalimu mmoja alitiwa mbaroni mkoani humo kwa kuwachomeka mimba wanafunzi wawili huku akimchomoa mimba mmoja wao.
Chanzo: RFA; habari na matukio 13/07/2023
MAONI YANGU
Hili liwe fundisho kwa wanafunzi wenye tabia mbaya na wasiowaheshimu walimu. Wanafunzi wa kizazi hiki wana vichwa vigumu sana. Hawasikii. Hii inatokana na malezi mabovu kutoka kwa wazazi na jamii inayowazunguka. Wazazi tuongeze juhudi za kuwalea watoto wetu kuwa na nidhamu ya kuwaheshimu walimu na watu wengine katika jamii.
Nawasilisha.
Kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fundisha pita kushoto akishika sawa asiposhika basi tutakutana kwenye Pepa km Chuo vile professor hana time ya kukimbizana na wewe tutakutana kwenye Pepa yaan Pepa litaongea
Kabisaa yaanKuna shule tuliendaga group ki kazi,mkuu wa shule akatuambia kuwa hawa wanafunzi ni majeuri hivyo msibishaneni nao,wanajifanya watoto wa mjini na nyie ni watoto wa mjini wakileta ujeuri achaneni nao watajijua wao na wazazi wao.
Toto likiwa jeuri achana nalo, fundisha pita hivi[emoji125],. Hakuna haha ya kushindana na majeuri coz watajuana wenyewe na mtihani wa mwisho.
Naunga mkono hojaWalimu hawa wanafunzi watawapa tabu sana, mind your business fundisha sepa achana nao watajijua.
Sahihi kabisa mkuu,mambo mengine ni level ya kamati ya nidhamu ya shule...eti mkuu wa mkoa. Surely hizi siasa zimetuletea viongozi wajinga sana. Kwamba mkoani katatua shida zote imebaki hiyo ya wanafunzi? Upuuzi mtupuRC hana kazi za kufanya, ni sawa na yule DC wa tunduru aliyekwenda kufumania.
USA na wenzie wa Europe wangekuwa na viongozi kama hawa sidhani kama wangefika huko Mars au kutengeneza drones na haya masmart phone.
RC na DC mjifunze kudeal na mambo makubwa makubwa yanayoleta tija kwenye ustawi wa jamii kwa kutumia akili zenu kubuni mambo tofauti tofauti.