Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

Shida ya walimu Baadhi ni ukatili TU,Baridi ya Mbeya jamani daahh....mi sikatai nawajua walimu wenzangu Baadhi walivyo
 
Sema kesi za wanawake ngumu sana kuziamua... usikute hapo mwalimu na wanafunzi walianza kusutana baada ya wote kuwa emotional. Mwanamke akiamua kuwa katili huwa ni hatari ya kifo. Ninamshauri huyo mwalimu apunguze unoko kufuatilia fuatilia wanafunzi. Hata sisi tukiwa O - level kuna mwalimu alikuwa akija kila siku saa 11 alfajiri na kiboko kutuamsha.. akifungua tu mlango anakimbilia kuwasha taa huku kashika kiboko na kukimbilia kutucharaza viboko. Yaani kwenye kuwasha taa na kuanza kutuchapa ni kitendo cha kufumba na kufumbua. Mkono mmoja umeshika swichi mwingine umeshaanza kuchapa... baada ya kutafakari kwa kina tukaona tuifungue swichi na kuacha zile nyaya wazi. Kesho yake mwalimu kaja kama kawaida na spidi zake kilichomkuta hatakaa asahau hata kwenye maisha baada ya kifo. Na sisi pia kilichotukuta kwa wiki nzima hatutakaa tusahau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli wanafunzi ni watukutu ila adhabu ziangalie utu wa wanafunzi,
Adhabu nyingi zinazotolewa zinakiuka hadi za binadamu.
Kabisaa kabisaa
Unamlaza mtoto kwenye Baridi akifa na nimonia?!
Kuna Shule Zina mateso sana
 
Wamuache Ila apewe onyo matoto ya watu akae nayo mbali fundisha maliza sepa usianze kuleta malezi unawafanya watoto wa kwako yatakutokea puani siku hizi mtoto wa mtu sio wako we mpe elimu akachukua sawa asipochukua basi atafundishwa kwao
Huyo ni Mimi,km mzazi wako kashindwa kukunyoosha baasi Mimi siwezi poteza mda,Siku hizi mitandao ndo mahakama zetu
Kitu kidogo wamerusha unajikuta unaingia matatizoni afu wakuu WA Shule waoga sana ujue wanawaruka sana walimu wao
 
Hakuna Mwalimu anaenyanyasa mwanafunzi ambae sio mtukutu ingawa kuna shule nilisoma kuna Mwalimu alikua anaitwa Ngozie Ila sio Mwalimu by profession maana alikua ana fani ya fine arts (mchoraji) alikua hana fani ya ualimu hata cheti Cha ualimu alikua hana akapewa ukuu wa shule yule alichokua anakifanya alikua anajua mwenyewe, kwa hio walimu wachunguzwe ni walimu by profession au kuna kingine hapo wamevamia fani za watu
Aza boy Nini?!!hyooo
 
Mimi ni mzazi, na mwanafunzi wa zamani ninayeelewa mazingira ya wanafunzi na waalimu yalivyo.

Wanafunzi wanapaswa kufuata maagizo na masharti ya waalimu wao. FULLSTOP.

Otherwise tunatengeneza jamii ya ajabu kuwahi kutokea.
Uko sahihi kabisa Mkuu Wangu
Isipokua Huyo Matron( Mwalimu na Mlezi wa kike) katoa Adhabu Kali sana Kwa hao wanafunzi.
Kuna Adhabu nyingi Sana ukizingatia na kosa , mazingira ya husika.
Matron kavuka kiwango ( Scale) kaingia kwenye Body and mental torture.
..... Walimu stop being Saddist.
 
Uko sahihi kabisa Mkuu Wangu
Isipokua Huyo Matron( Mwalimu na Mlezi wa kike) katoa Adhabu Kali sana Kwa hao wanafunzi.
Kuna Adhabu nyingi Sana ukizingatia na kosa , mazingira ya husika.
Matron kavuka kiwango ( Scale) kaingia kwenye Body and mental torture.
..... Walimu stop being Saddist.
Labda kama nimesoma vby, nimesoma kama alifunga bweni kwa muda, baadaye akaenda kuwafungulia wanafunzi wakagoma wakaenda kulala darasani ILI TU WA EXAGGERATE ISSUE.


Ila ni kawaida hata nyumbani enzi za balehe ukichelewa kdg mzazi anafunga mlango, anakufungia, kama mtoto unaomba msamaha kuchelewa ufunguliwe.

Hawa wao wameenda kuwasha moto na bahati mbaya jamii inaingia kwenye mtego wa kuwa upande wao... Tunawaharibu zaidi.
 
Labda kama nimesoma vby, nimesoma kama alifunga bweni kwa muda, baadaye akaenda kuwafungulia wanafunzi wakagoma wakaenda kulala darasani ILI TU WA EXAGGERATE ISSUE.


Ila ni kawaida hata nyumbani enzi za balehe ukichelewa kdg mzazi anafunga mlango, anakufungia, kama mtoto unaomba msamaha kuchelewa ufunguliwe.

Hawa wao wameenda kuwasha moto na bahati mbaya jamii inaingia kwenye mtego wa kuwa upande wao... Tunawaharibu zaidi.
Wanafunzi wa sikuhizi 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!!
 
Labda kama nimesoma vby, nimesoma kama alifunga bweni kwa muda, baadaye akaenda kuwafungulia wanafunzi wakagoma wakaenda kulala darasani ILI TU WA EXAGGERATE ISSUE.


Ila ni kawaida hata nyumbani enzi za balehe ukichelewa kdg mzazi anafunga mlango, anakufungia, kama mtoto unaomba msamaha kuchelewa ufunguliwe.

Hawa wao wameenda kuwasha moto na bahati mbaya jamii inaingia kwenye mtego wa kuwa upande wao... Tunawaharibu zaidi.
Mkongwe uko sahihi kabisa.
Ila zama zimebadilika sana
Sio kama enzi zenu mboko ndo zilikua zinaongea Leo hii hawa watoto wa 2000's
Wana balaa wako moto
Pia nyie kama wazazi hamna makali kama enzi zile
Sisi ukitumwa Dukani unapewa muda sasa kama una nguvu weee neng'eneka tu humo njiani.
Leo hii pia matumizi makubwa sana ya teknolojia yanatumika mixer siasa mara kule haki za watoto
Yani jambo dogo linakua kubwa na kubwa ni kubwa kuliko .
Walimu jitazameni... Kwani chakufia nini?
 
Back
Top Bottom