cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Had shuleni? Sasa wanafanya kuangalia nn? Mie najua wanakua maeneo yenye mashaka.Weee udugu usalama wapo kila idara hujui hilo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Had shuleni? Sasa wanafanya kuangalia nn? Mie najua wanakua maeneo yenye mashaka.Weee udugu usalama wapo kila idara hujui hilo???
Mashuleni pia wapooo dear sema huwa wanahama hama sana hawakai sehemu moja muda mrefu..Had shuleni? Sasa wanafanya kuangalia nn? Mie najua wanakua maeneo yenye mashaka.
Duuh bas hatariii shouzz ake, lolMashuleni pia wapooo dear sema huwa wanahama hama sana hawakai sehemu moja muda mrefu..
Wanapelekwa kwa misheni fulani tu wakishamaliza kilichowapeleka haoooo ghafla unasikia kahamishwa!!!
Usimguse Mtoto wa mtu utapewa kesi hata huijui imetokea wapi mbaya zaidi na clip yako wakati unafanya ulichofanya unaonyeshwa km ushahidi ukiuliza ume-recordiwa saa ngap hujui, ulimwengu wa digital form 1 ana simu ya laki 7Huyo ni Mimi,km mzazi wako kashindwa kukunyoosha baasi Mimi siwezi poteza mda,Siku hizi mitandao ndo mahakama zetu
Kitu kidogo wamerusha unajikuta unaingia matatizoni afu wakuu WA Shule waoga sana ujue wanawaruka sana walimu wao
Heri wa Iyunga ni watoto wa kiume Mkuu.Sijui watu wa IYUNGA watasemaje🤣🤣
Maana pale ndio kabisaaaa.
Sema wakizinguliwa sana huwa wanajibu kwa vitendo sio kususa.
Kuna mkuu wa shule alishawahi fukuzishwa cheo bado kidogo apigwe makofi na wanafunzi😅 hadi mkewe analia anamuombea msamaha🤣
Heri baridiKabisaa kabisaa
Unamlaza mtoto kwenye Baridi akifa na nimonia?!
Kuna Shule Zina mateso sana
Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama mkoani kwake. Ni jukumu lake kulinda usalama wa raia walioko mkoani kwake. Mfano wanafunzi hawa wangepata madhara makubwa amawangefariki, asingewajibika? Fikiri nje ya box ndugu.RC hana kazi za kufanya, ni sawa na yule DC wa tunduru aliyekwenda kufumania.
USA na wenzie wa Europe wangekuwa na viongozi kama hawa sidhani kama wangefika huko Mars au kutengeneza drones na haya masmart phone.
RC na DC mjifunze kudeal na mambo makubwa makubwa yanayoleta tija kwenye ustawi wa jamii kwa kutumia akili zenu kubuni mambo tofauti tofauti.
Kwa hiyo wasichana hawastahili adhabu??Heri wa Iyunga ni watoto wa kiume Mkuu.
Loleza ni wasichana.
Wanastahili lakini si adhabu Kali kupita kiasi kama zile zilizopo Loleza.
Vp mkuu wa wilaya anahusika wapMkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama mkoani kwake. Ni jukumu lake kulinda usalama wa raia walioko mkoani kwake. Mfano wanafunzi hawa wangepata madhara makubwa amawangefariki, asingewajibika? Fikiri nje ya box ndugu.
Kama hawatak adhabu kali waache kufanya makosaWanastahili lakini si adhabu Kali kupita kiasi kama zile zilizopo Loleza.
Hahahaa....unamkana live bila chenga?!!Kila mtu apambane na hali yake yaan ufanye makosa huko mimi nikutetee kwan huna akili???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asiyefunzwa na mama Ake ulimwengu utamfunzaUsimguse Mtoto wa mtu utapewa kesi hata huijui imetokea wapi mbaya zaidi na clip yako wakati unafanya ulichofanya unaonyeshwa km ushahidi ukiuliza ume-recordiwa saa ngap hujui, ulimwengu wa digital form 1 ana simu ya laki 7
Sio mwanangu aseehh...utajua hujuiiHeri baridi
Kwenye mvua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi cha mvua
Asbh hadi jioni yuko nje ofisini mvua inamtandika,jua likiwaka lake
Na ilikuwa adhabu ya wiki nzima.
Nimemkumbuka Bernard Ngoziye wewe ni Azaboy?Hakuna Mwalimu anaenyanyasa mwanafunzi ambae sio mtukutu ingawa kuna shule nilisoma kuna Mwalimu alikua anaitwa Ngozie Ila sio Mwalimu by profession maana alikua ana fani ya fine arts (mchoraji) alikua hana fani ya ualimu hata cheti Cha ualimu alikua hana akapewa ukuu wa shule yule alichokua anakifanya alikua anajua mwenyewe, kwa hio walimu wachunguzwe ni walimu by profession au kuna kingine hapo wamevamia fani za watu
Wewe ni Azaboy?Nimemkumbuka Bernard Ngoziye wewe ni Azaboy?
Yeah nimesoma Azania pale UpangaWewe ni Azaboy?
Aha vizuri mkuu,Yeah nimesoma Azania pale Upanga