Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

Kweli wewe ni nyau ...
Kila jambo kubwa huanzia na dogo.
A journey of thousands of miles begins with a single step.
Mbuyu ulianzia kuota mmea mdogo kama mchicha.

Usidharau kitu kidogo au jambo dogo.
 
Loleza girls ina manyanyaso sana toka miaka hiyo,
HayajaAnza leo.
Kuna muda mwalimu anamkalisha mtoto nje asbh mpaka jioni kwenye mvua aiseee ni unyama.


Naongea nikiwa na uhakika wa kutosha,, I've been there for yrs.
Soma habari kikamilifu.
Don't rush.
 
Loleza girls ina manyanyaso sana toka miaka hiyo,
HayajaAnza leo.
Kuna muda mwalimu anamkalisha mtoto nje asbh mpaka jioni kwenye mvua aiseee ni unyama.


Naongea nikiwa na uhakika wa kutosha,, I've been there for yrs.
Kuna mwaka tulikuwa bwenini mda wa darasan,mwl wa zamu alitukuta aiseee,akatupa adhabu ya kulala ofisini mda wa masomo kwa wiki nzima,Cha ajabu hakuna hata mwalim aliyekuwa anashtuka kusema aongee na mwl mtoa adhabu Ila Mungu siyo makonda.....yule mwalim aliumwa jaman baada ya like tukio nazani haji kusahau shenzi zake,mtu unachelewa kufungua shule unapewa adhabu ya kufyatua tofali as if walikupa hela ya Ada hawajui Kuna watu tulikuwa tunalima vbarua ndio tupate ada
 
Wewe ni mzazi usiye na akili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utamuonea wapi wakati yupo Hostel,wewe upo mkoani huko.
Daahh..Kuna walimu makatili
Mwanangu alinisimulia alifanyiwa bullying shuleni vile alivoenda pre form 1,Siku ya kumpeleka Shule nilienda Mpk Kwa sista nkaonana NAE nikamuambia na nikasema ikitokea amefanyiwa Tena akaniambia ntamuhamisha for good ,sijamleta Aishi Kwa stress au mawazo au unyonge...I won't stand that I know zipo Shule salama strictly from all that shits!!!sijui Nini kilitokea ila hajafanyiwa Tena bullying!!na sista ameweka adhabu Kali mtu akimbully mwenziwe
 
Bad enough anawaambia wakalae mabweni Mengine yasiokua na wanafunzi ,je?Kuna magodoro hukoo?Kuna mashuka au blanket?!
Huyo mwl mkatili TU na akome kiherehere
 
Aisee pole kwake.
Hizi shule za seminary huwa wako serious kusimamia basi itakuwa ilitokea bahati mbaya tu.
 
Shule yangu, nilisha sema sito ruhusu mtoto wangu mdogo wangu asome hapo. Kuna mateso sana, nilijua wameacha.

Watu wa nje hawawezi elewa, lakini nina uhakika huyo mwalim hadi kugomewa hivyo na taarifa kufika nje itakuwa walichoka.

Sijui siku hizi kama simu wanaruhusiwa, itakuwa mmoja wa mwalimu mwenzie kamchongea huyo mwalimu.

Sitetei utovu wa nidham wa wanafunzi, ila walimu adhabu ziangaliwe,

Kabla hawajotoa maamuzi ya adhabu ya mwalimu, wachunguze kwanza
 
Aisee pole kwake.
Hizi shule za seminary huwa wako serious kusimamia basi itakuwa ilitokea bahati mbaya tu.
Loleza girls mateso hayajaanza mwaka huu, miaka mingi sanaa, nakumbuka mwaka wetu sisi,kuna mwanafunzi alikufa kwa uzembe wa walimu, et mwanafunzi anadeka.
Wazazi fuatilieni shule za watoto na sio kutoa hukumu watoto hawana adabu.

Pande zote mbili ziangaliwe
 
Kweli kabisa
Loleza hawajaaza leo wala jana
Ni kitambo sana.
 
Shida ya walimu Baadhi ni ukatili TU,Baridi ya Mbeya jamani daahh....mi sikatai nawajua walimu wenzangu Baadhi wwali

Kweli kabisa
Loleza hawajaaza leo wala jana
Ni kitambo sana.
Kuna mwanafunzi kamaliza miaka 3 iloyopita ananiambia mwl alikuwa anawa amsha sa 11 asubuhi wafanye usafi, wakimaliza anarudia kukagua alikuwa anawapiga kama sio watu.

Sasa hapo alikuwa bado hajaolewa, akaolewa akaachika na hana mtoto itakuwa stress zimeongezeka mara mbili, wamtafutie msaada asije tuulia watoto.

Kuna madam alikuwa mkali sanaa na roho mbaya juu, wanafunz walicho mfanyia hawezi sahau.
Na walimwambia, akabeba mimba alikaa bed rest miez karibu yote hospital na bado akakosa mtoto. Alirud mpole mbona ukali wote uliisha.

Loleza kama katabia hiv cha roho mbaya wana ambukizana, akiondoka hiyu anarithi mwingine
Na sijui kama adhabu ya matofali waliacha ,matofal elf 1 mtu mmoja adhabu gani hiyo
 
Shida wengi wakifika pale wanaingia kwenye mkumbo wa ukali🤣
Na baridi iliyopo pale nyie unamlaza mtoto nje😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…