Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

Nakubaliana kabisa na wewe. Adhabu zinazotolewa na Walimu ktk shule hii haziendani na kosa.
Jumamosi iliyopita kuna wanafunzi walikutwa bwenini; muda ambao walitakiwa kuwa darasani kujisomea (saa 10 alfajiri hadi saa 5 asubuhi). Adhabu waliyopewa ni kufukuzwa shule. Mbaya zaidi wamefukuzwa bila hata taarifa kwa wazazi. Watoto wakajikuta wanazagaa Mbeya mjini kutafuta msaada.
 
Tatizo lipo Kwa walimu,umepelekwa kufundisha Sasa iweje ujiongezee majukumu meeeeengi badalabya kwenda kufanya issues zako ujiongezee kipato, serikali hainaga shukurani unaweza jitoa sana ukafaurisha sana but one mistake inakuwa mfano
 
Mi ni mwalim,huwezi nikuta nafanya ujinga kama huo zangu pindi tu mda wa KAZI ukiisha sitaki kujuana na mwanafunzi naenda zangu kutafuta mia mbili miambili kitaa,Over!
 
Tatizo lipo Kwa walimu,umepelekwa kufundisha Sasa iweje ujiongezee majukumu meeeeengi badalabya kwenda kufanya issues zako ujiongezee kipato, serikali hainaga shukurani unaweza jitoa sana ukafaurisha sana but one mistake inakuwa mfano
Kweli kabisa kiongozi. Suala la nidhamu tuwaachie wazazi; walimu wajikite kwenye ufundishaji tu.
 
Naona RC wa amekuwa kama mwalimy mkuu wa shule za Mbeya...
 
Balaa yani Tit for tat.
 
A
Loleza girls ina manyanyaso sana toka miaka hiyo,
HayajaAnza leo.
Kuna muda mwalimu anamkalisha mtoto nje asbh mpaka jioni kwenye mvua aiseee ni unyama.


Naongea nikiwa na uhakika wa kutosha,, I've been there for yrs.
U na wewe mkorofi?
 
"Mkuu wa Shule ya Loleza Mwal. Mkuu Betiseba Nsemwa".

Huyu Maza ndo aliletwa huku daah tulimkimbiza Kiwanja High School,Chunya ana ubaya wa hatari.
 
Aisee pole kwake.
Hizi shule za seminary huwa wako serious kusimamia basi itakuwa ilitokea bahati mbaya tu.
Ahsante Wee nilimuia sana Mimi bwana sipendi uonevu kabisaa, mbayaa si unajua Ile pre form 1 Sasa hv wamepunguza na anajua pia kujitetea kashakua mkubwa
 
Aseehh....ndo maana kumbe ana shidaa
Ila walimu hizi stress zetu kutolea Kwa Wanafunzi ni shidaa...
Hyo shule iangaliwe Kwa jicho la tatu watakuja kuua Wanafunzi au siku Wanafunzi wataua mwl
 
Walimu hawa wanafunzi watawapa tabu sana, mind your business fundisha sepa achana nao watajijua.
Wakati nasoma Kuna ticha alikuwa hajishughulishi na mwanafunzi yoyote, alikuwa anasema kazi yake ni kufundisha na kusahihisha kazi za somo analofundisha tu. Hawa wanafunzi unatakiwa kuwaacha kama walivyo ili yasijekutokea usiyoyadhania. Siku hizi ndio nimeanza kumuelewa yule ticha .
 
Ahsante Wee nilimuia sana Mimi bwana sipendi uonevu kabisaa, mbayaa si unajua Ile pre form 1 Sasa hv wamepunguza na anajua pia kujitetea kashakua mkubwa
Kwa kweli haipendezi kumuonea mtoto kupita kiasi.
Hata akikosea basi mpe adhabu ambayo ungempa mwanao wa kumzaa.

Siyo ndio unakomesha Mtoto aisee kama vita [emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kweli haipendezi kumuonea mtoto kupita kiasi.
Hata akikosea basi mpe adhabu ambayo ungempa mwanao wa kumzaa.

Siyo ndio unakomesha Mtoto aisee kama vita [emoji1787][emoji1787]
Yaani walimu Baadhi Wana act kama wanajeshi wa quantanamo bay,ukatili tu au km hawajazaaa ,utadhani wako na wake wenzao au waume wenzao...it is scary kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…