Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mpaka wafufuke?Rip little soul.. Hao wanyongwe mpaka wafe
Daaah ni hatariUfala huu... Nakumbuka kuna dogo wa miaka mitano jirani na nilipopanga alijiendeshea kitandani ucku akiwa kalala... Wazazi walipoamka asubuhi na jazba wakaanza kumpa kichapo cha mbwa koko!
Ikabidi niende kuingilia ugomvi na kuwazuia wasiendelee kumpga. Uzuri nilikuwa nawamudu, Nikawaambia km shida ni kufua kinyesi chake km walivyokuwa wanalalama mi nitafua ila wamwache dogo.
Ikabidi nimuulze dogo ilikuwaje akaharisha kitandani? Akanambia usiku tumbo lilikuwa linamuuma, alipomwamsha mama yake ampeleke chooni akakataa. Akamwambia km huwezi kuamka kunya hapohapo kitandani... Dogo kutokana na kushindwa kuichambua ile kauli ukilinganisha na umri wake pamoja na break kufeli akakuta tayari ashaharibu hali ya hewa kitandani
Sisi wazazi muda mwingine ndo visababishi vya watoto kufanya mambo ya ajabu!
Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sana.Sawa iyo picha ya kwanza alikua na miaka 28
Hiyo ya pili ana miaka mingapi?
Jamaa atakua alizuzuliwa na mshangazi kiasi Cha kupoteza upendo kwa mtoto wake.
Acha akaonje kaa la moto
Miaka 28 ya vijana wa miaka hii ni tofauti na miaka 28 ya vijana wa zamani. Vijana wa sasahivi upevu wa akili ni mdogo mfano ni huyu Lucas Mwashambwa
Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sanaSawa iyo picha ya kwanza alikua na miaka 28
Hiyo ya pili ana miaka mingapi?
Jamaa atakua alizuzuliwa na mshangazi kiasi Cha kupoteza upendo kwa mtoto wake.
Acha akaonje kaa la moto
Tunaambiwa sana kwamba ukiwa na hasira sana jizuie sana kutoa maamuzi na ukiwa na furaha sana piaSafari ya kwenda kunyea debe inaanzia hapa...
Kwani nikifua nguo za mavi ya mwanangu nitanuka mikono mtaani, wanaume wengine vichaa wa mapenzi. Ndio maana ukawepo msemo mtoto akikunyea mkono.......... Mimi akinya hata sisemi na Shetani anayeutwa mwanamke. Ninafua KIROHO safi na nimewahi kufua piaJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] maarufu kama Rama Love ambaye pia ni Mwandishi na Mtangazaji pamoja na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.
Ni kwamba Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.
Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.
Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.
Ni kwamba Novemba 25, 2024 saa 2:00 usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.
Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.
Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.
Imetolewa na:
Benjamin Kuzaga – SACP
Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya
Ndugu yake MwashambwaBaba unaanzaje kutoa kichapo kwa mtoto under 5 years? Mental health is real.. CCM must go now
Hawa mbwa wafungwe wakafie jela kwuma ya mama zao!Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] maarufu kama Rama Love ambaye pia ni Mwandishi na Mtangazaji pamoja na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.
Ni kwamba Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.
Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.
Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.
Ni kwamba Novemba 25, 2024 saa 2:00 usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.
Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.
Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.
Imetolewa na:
Benjamin Kuzaga – SACP
Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya
Mtoto wa 4yrs sio kawaida kujisaidia kwenye nguo, kosa sio lake ina maana mlezi wake hajamfunza pia anaweza kuwa anaishi kwa wasi wasi kiasi cha kushindwa kusema kuwa ana hitaji jambo fulani kwa kuogopa kufokewa au kupigwa.Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sana.
Dada yake Mariam Mwashambwa ndio kachochea kifo cha mtoto. Wote zero brain hao MwashambwaMiaka 28 ya vijana wa miaka hii ni tofauti na miaka 28 ya vijana wa zamani. Vijana wa sasahivi upevu wa akili ni mdogo mfano ni huyu Lucas Mwashambwa
Mwashambwa ni dadaake na Lucas Mwashambwa bogus mwandamizi wa JFKumbe mwashambwa ni mke wa mtu?