Mbeya: Wanandoa Mbaroni Baada ya Kumshushia Kipigo Hadi Kifo Mtoto Wao wa Miaka Minne

Mbeya: Wanandoa Mbaroni Baada ya Kumshushia Kipigo Hadi Kifo Mtoto Wao wa Miaka Minne

Ufala huu... Nakumbuka kuna dogo wa miaka mitano jirani na nilipopanga alijiendeshea kitandani ucku akiwa kalala... Wazazi walipoamka asubuhi na jazba wakaanza kumpa kichapo cha mbwa koko!

Ikabidi niende kuingilia ugomvi na kuwazuia wasiendelee kumpga. Uzuri nilikuwa nawamudu, Nikawaambia km shida ni kufua kinyesi chake km walivyokuwa wanalalama mi nitafua ila wamwache dogo.

Ikabidi nimuulze dogo ilikuwaje akaharisha kitandani? Akanambia usiku tumbo lilikuwa linamuuma, alipomwamsha mama yake ampeleke chooni akakataa. Akamwambia km huwezi kuamka kunya hapohapo kitandani... Dogo kutokana na kushindwa kuichambua ile kauli ukilinganisha na umri wake pamoja na break kufeli akakuta tayari ashaharibu hali ya hewa kitandani

Sisi wazazi muda mwingine ndo visababishi vya watoto kufanya mambo ya ajabu!
Daaah ni hatari
 
Sawa iyo picha ya kwanza alikua na miaka 28
Hiyo ya pili ana miaka mingapi?
Jamaa atakua alizuzuliwa na mshangazi kiasi Cha kupoteza upendo kwa mtoto wake.
Acha akaonje kaa la moto
Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sana.
 
Mariam Charles mwashambwa mama wa kambo kabila Msafwa

Ramadhan Tembo Mwakilasa baba mzazi kabila mnyakyusa


Aliyeuawa Kwa kupigwa mtoto wa baba mzazi.
Umri wa marehemu miaka 4

Kisa Cha kipigo kujichafua Kwa haha kibwa

Connect dot ukihusisha nguvu ya Delila Kwa samson
Miaka 28 ya vijana wa miaka hii ni tofauti na miaka 28 ya vijana wa zamani. Vijana wa sasahivi upevu wa akili ni mdogo mfano ni huyu Lucas Mwashambwa
 
Sawa iyo picha ya kwanza alikua na miaka 28
Hiyo ya pili ana miaka mingapi?
Jamaa atakua alizuzuliwa na mshangazi kiasi Cha kupoteza upendo kwa mtoto wake.
Acha akaonje kaa la moto
Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sana
Safari ya kwenda kunyea debe inaanzia hapa...
Tunaambiwa sana kwamba ukiwa na hasira sana jizuie sana kutoa maamuzi na ukiwa na furaha sana pia
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] maarufu kama Rama Love ambaye pia ni Mwandishi na Mtangazaji pamoja na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.

Ni kwamba Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.

Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.

Ni kwamba Novemba 25, 2024 saa 2:00 usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.

Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.

Imetolewa na:
Benjamin Kuzaga – SACP
Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya
Kwani nikifua nguo za mavi ya mwanangu nitanuka mikono mtaani, wanaume wengine vichaa wa mapenzi. Ndio maana ukawepo msemo mtoto akikunyea mkono.......... Mimi akinya hata sisemi na Shetani anayeutwa mwanamke. Ninafua KIROHO safi na nimewahi kufua pia
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] maarufu kama Rama Love ambaye pia ni Mwandishi na Mtangazaji pamoja na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.

Ni kwamba Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.

Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] na Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani Jijini Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Chloy Ramadhan [04] kwa kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili.

Ni kwamba Novemba 25, 2024 saa 2:00 usiku huko Mtaa wa TEKU viwandani Jijini Mbeya, mtoto Chloy Ramadhan [04] alifariki dunia baada ya kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na baba yake mzazi aitwaye Ramadhan Tembo Mwakilasa [28] akishirikiana na mama yake wa kambo aitwaye Mariamu Charles Mwashambwa [28] wote wakazi wa TEKU viwandani.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni ukatili na unyanyasaji kwa kumuadhibu mtoto baada ya kujisaidia kwenye nguo alizokuwa amezivaa.

Jeshi la Polisi linawataka wazazi/walezi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi dhidi ya watoto pindi wanapokosea na badala yake watumie njia sahihi na salama kuwafundisha au kuwaelekeza bila kusababisha madhara.

Imetolewa na:
Benjamin Kuzaga – SACP
Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya
Hawa mbwa wafungwe wakafie jela kwuma ya mama zao!
 
Duu yani unaua kakijana kako ambako kangekufaa baadae kisa kamejiwaidia kwenye nguo??kwa umri huo hyo ni kawaida sana.
Mtoto wa 4yrs sio kawaida kujisaidia kwenye nguo, kosa sio lake ina maana mlezi wake hajamfunza pia anaweza kuwa anaishi kwa wasi wasi kiasi cha kushindwa kusema kuwa ana hitaji jambo fulani kwa kuogopa kufokewa au kupigwa.
 
Back
Top Bottom