Mbeya: Wanandoa Mbaroni Baada ya Kumshushia Kipigo Hadi Kifo Mtoto Wao wa Miaka Minne

Mwamba kayatimba,
Mtoto wa 4yrs sio kawaida kujisaidia kwenye nguo, kosa sio lake ina maana mlezi wake hajamfunza pia anaweza kuwa anaishi kwa wasi wasi kiasi cha kushindwa kusema kuwa ana hitaji jambo fulani kwa kuogopa kufokewa au kupigwa.
Mkuu ni kawaida,kuna ile hali unakuta mtoto kanogewa na kucheza huku kabanwa haja ,anakuja kustuka kwenda chooni unakuta mambo yashamalizikia njian,hyo ipo sana huwa michezo inawasahaulisha.
 
Yaani baada ya kumsafisha kama kuna ugali nautandika fresh tu. Tangu nipate watoto ndio nikajua Kinyesi cha mtoto wala sio kero. Na imeniwezesha kuwasadia hata watoto wasio wangu siwaonei kinyaa.
 
Watu kama hawa wanakamatwa vipi wakiwa wazima bila majeraha? Yani ilitakiwa hii ripoti ije ikiwa mke hana jicho huku mume hana mkono, makosa makubwa wamefanya wakazi wa TEKU viwandani.
 
Du
CCM wamesababisha apate ugonjwa wa akili, hujaelewa kitu gani hapo we m.buzi?
uu nimekuwa mbuzi tena aisee! Don miguel kwenye kitabu cha 4 agreement anasema don't anything personal yawezekana wewe ndiyo mbuzi aisee
 
Mtoto wa miaka 4 anapigwa na watu wawili wenye miaka 28!!
Aisee
kama habari ilivyosomeka huyo mwanamke hajamzaa huyo mtoto kwahiyo ni mama wa kambo bila shaka mama wa kambo ndie anamchochea jamaa na mwanaume nae kizibo kumfurahisha hilo jike..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…