Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mbeya wamezidi.Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .
" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Karne ya 21 nyumba ya tope jijini?
Masopakyindi jitetee!