Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Wenye uwezo ni akina nani ?Kama hawawezi kujnga nyumba za kisasa siwawauzie tuuu wenyeuwezoo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye uwezo ni akina nani ?Kama hawawezi kujnga nyumba za kisasa siwawauzie tuuu wenyeuwezoo??
😲😲😲 kariakoo ya DSM au ile ya Kahama?Kariakoo nyumba lukuki ni za tope , wenyewe watahamishwa lini ?
njoo mtaa wa kipata na mtaa wa Lindi ujionee😲😲😲 kariakoo ya DSM au ile ya Kahama?
Ushawahi kufika Lindi kweli?Nadhani mbeya ni Kati ya miji yenye nyumba nyingi za tope. Ila uwekwe utaratibu mzuri kwa wamiliki wasifukuzwe
Maendeleo hayana vyama
Hata mimi ninauwezo huo, waseme tu nikanunue uwanja hapo mjinii. Wasing'ang'anie kukaa mjini huku wakijua hayo nimaeneo ya kibiashara.Wenye uwezo ni akina nani ?
Wacha weeee !!!Hata mimi ninauwezo huo, waseme tu nikanunue uwanja hapo mjinii. Wasing'ang'anie kukaa mjini huku wakijua hayo nimaeneo ya kibiashara.
Nenda jangwani hapo!! Nenda msikiti wa idrissa !! Mtaa wa muheza, hata mtaa wa agreyy zipo baadhi ya nyumba ni tope kabisa!! Kariakoo nyumba za tope zipo nyingi tu.kariakoo ipi hiyo mkuu!!!!
Vitu gani sasa?? Au hujamuelewa mleta maada hapa?? Nyumba hizo, nimakazi ya watu kihalaliii, shida nikwamba, bilashaka wamiliki wa nyumba hizo hawajawa na uwezo wa kujenga za kisasaa. Ndiomaana tunashauri wawauzie wenye uwezo,iliwao wakajenge pengineee.Nyumba za udongo hazifai popote pale, tunahitaji makazi bora sio maneno tuutuu... viongozi waje na vitu vinavyotelelezeka
Living stone zipo nyimba 2 za tope, Amani zipo kadha, jangwani mitaa ya Twiga, Kongo, Muheza pia zipo nyingi tukariakoo ipi hiyo mkuu!!!!
Huo ndo ukweliii. Nimetafuta saana hapo mbeya. Ukisiikia mtu anauza nijulishee mkuu.Wacha weeee !!!
Yaap.Nakubaliana na wewe, hao ndio viongozi wa sasa wengi sana tulio nao leo.Hawawezi kabisa kabisa kabisa kutatua tatizo bila kusababisha tatizo tena kubwa kuliko alilokuwa akijaribu kulitatua.Tatizo kubwa lilopo Tanzania huwa hatujuagi kutatua matatizo.huwa tunatatua matatizo kwa kuongeza matatizo.
Tatizo nchi ina wrong distribution of financial resources, Ukweli unabaki Tanzania ina matajiri wengi ikizidiwa na África ya kusini tuu kwa kusini mwa Ikweta.kuna ugumu gani kama nchi iko uchumi wa kati ?
Ile Simike yote zile nyumba si ni tofali za udongo zile hazijachomwa...Hizo nyumba ziko mbeya maeneo gani
Blok t,forest,blok q,uhindini,ghana au
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hata ukienda dar, ukifika mtaa wa ufipa, kuna jengo moja eti nimakao makuu ya chama flani, kwakweli hilojengo nalo liondolewe haraka saaanaaNyumba za udongo hazifai popote pale, tunahitaji makazi bora sio maneno tuutuu... viongozi waje na vitu vinavyotelelezeka
Kamanda, sasa si umweleze tu ni mtaa gani ili ajue, na kama inawezekana utupie na tupicha picha ili aone kwa macho!Mtu wa Geita utaelewa Kariakoo kweli ?
LITAKE LISITAKEMoto utawaka kwa Mbeya , huyu ofisa haijui Mbeya
ya Lindikariakoo ipi hiyo mkuu!!!!