Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umemsaidia nini huyo mwananchi ili aweze kujiingizia kipato ili aweze kujenga nyumba ya matofari?Aibu kubwa. Kama mtu unashindwa kuendana na kasi ya ukuaji wa mji uza kiwanja nenda nje ya mji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsaidia nini huyo mwananchi ili aweze kujiingizia kipato ili aweze kujenga nyumba ya matofari?Aibu kubwa. Kama mtu unashindwa kuendana na kasi ya ukuaji wa mji uza kiwanja nenda nje ya mji
Hakuna mtu wakuleta huo upuuzi hapa dar,atafukuzwa mchana kweupeeeeKariakoo nyumba lukuki ni za tope , wenyewe watahamishwa lini ?
Nani anaijua sheria yenu?Kwa sheria ipi?
Na huko watakakopelekwa wanaenda kuishi kwenye nyumba zisizo za hope?Mbeya nmekaa nmepiga sana debe hko enz za magari chai maharage alaf nlikuw chali sana
Tikirud kwenye mada,akiwafukuza atawapeleka wapi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sawa ni aibu, lakini muda sio muafaka, hali ni ngumu sana kwa wananchi wengi. Walishindwa kujenga wakati hali ni afadhali, jee leo hii si unataka kumvunjia mtu nyumba yake. Wawajengee tuu, kumalizika mchezo.Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .
" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Huyo kiongozi kakurupuka sijui kama mkuu wa mkoa atakubaliNa huko watakakopelekwa wanaenda kuishi kwenye nyumba zisizo za hope?
Hakuna kitu kibaya na cha kudhalilisha kwa kiongozi kama kutoa maelekezo au maamuzi yasiyotekelezekaHuyo kiongozi kakurupuka sijui kama mkuu wa mkoa atakubali
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu achana na kariakookariakoo ipi hiyo mkuu!!!!
Kama hawawezi kujnga nyumba za kisasa siwawauzie tuuu wenyeuwezoo??Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .
" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Kwahiyo nyie ndio mnaotaka nyumba za tembe hadi katikati ya jijii??Hakuna kitu kibaya na cha kudhalilisha kwa kiongozi kama kutoa maelekezo au maamuzi yasiyotekelezeka
Nyumba za udongo hazifai popote pale, tunahitaji makazi bora sio maneno tuutuu... viongozi waje na vitu vinavyotelelezekaKwahiyo nyie ndio mnaotaka nyumba za tembe hadi katikati ya jijii??
angetaja magomeni sasa.Mkuu achana na kariakoo
Hapa magomeni zimejaaa lukuki
JacarandaHizo nyumba ziko mbeya maeneo gani
Blok t,forest,blok q,uhindini,ghana au
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Zipo Mabatini,Nonde, Simike, Airport Mbalizi,Sokomatola nkHizo nyumba ziko mbeya maeneo gani
Blok t,forest,blok q,uhindini,ghana au
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ushamba na kutoelewa tu. Mi nimeona watu Mbeya wanajenga kwa tofali mbichi na kuacha za kuchoma kwa sababu mbichi ni imara zaidi. Nina mfano hai wa watu wawili. Wanasema za kuchoma zinapukuchika. Hizo nyumba za sehemu kama majengo zina miaka kibao.Wanaongelea nyumba za tope lipi??!!Kama zile tofar mbichi Mbeya Basi aachane nazo tu!nyumba ya mzee wangu now Ina miaka 35 haijawahi tetereka hata ufa tu!!!.
Kwa Mbeya tope ni imara Sana,na ndio maana msingi wa mawe tunajengea tope!!
Kwa maana hiyo nchi imeshakuwa ya matajiri tu na kama hauna kitu basi huna haki tena ya kuishi mjini, hii ndio Tanzania wanayotaka kutuleteaAgizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .
" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Wewe kariakoo huijui kabisa, sasa siku jaribu kutoboa Msikiti wa Idrisa upitie barbara ya Mzizima utokee mchikichini ndio utajua bonde la msimbazi lipo wapi na watu wanaishije huko hapo ndio utagundua mtaa wa jangwani pale ushuaniZa Kariakoo Zipo za Tope ila Nje Zimechapwa Plasta huwezi Jua.. Nakumbuka Nyumba ya Udongo ya Mwisho ilikuwepo Mtaa wa Muheza baadae pakageuzwa nyumba Banda la Mpira kisha pakabomolewa Likajengwa ghorofa kubwa miaka ya 2000-2005.
Kuna baadhi ya maeneo vijumba hivyo vimejificha ficha sikumbuki sehemu kuna uzio na vichumba chumba kibao maeneo ya fire Msimbazi kuna Garden - Lumumba kuna Garage and kuna omba omba wanalala usiku kama nilishaona kijumba
Picha za madiwani au za nyumba ?Picha ziko wapi?
kuna ugumu gani kama nchi iko uchumi wa kati ?Sawa ni aibu, lakini muda sio muafaka, hali ni ngumu sana kwa wananchi wengi. Walishindwa kujenga wakati hali ni afadhali, jee leo hii si unataka kumvunjia mtu nyumba yake. Wawajengee tuu, kumalizika mchezo.