Mbeya: Wenye nyumba za tope mjini kuhamishwa

Mbeya: Wenye nyumba za tope mjini kuhamishwa

Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .

" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Sawa ni aibu, lakini muda sio muafaka, hali ni ngumu sana kwa wananchi wengi. Walishindwa kujenga wakati hali ni afadhali, jee leo hii si unataka kumvunjia mtu nyumba yake. Wawajengee tuu, kumalizika mchezo.
 
Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .

" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Kama hawawezi kujnga nyumba za kisasa siwawauzie tuuu wenyeuwezoo??
 
Wanaongelea nyumba za tope lipi??!!Kama zile tofar mbichi Mbeya Basi aachane nazo tu!nyumba ya mzee wangu now Ina miaka 35 haijawahi tetereka hata ufa tu!!!.
Kwa Mbeya tope ni imara Sana,na ndio maana msingi wa mawe tunajengea tope!!
Ushamba na kutoelewa tu. Mi nimeona watu Mbeya wanajenga kwa tofali mbichi na kuacha za kuchoma kwa sababu mbichi ni imara zaidi. Nina mfano hai wa watu wawili. Wanasema za kuchoma zinapukuchika. Hizo nyumba za sehemu kama majengo zina miaka kibao.
 
Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Mh Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani .

" Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema .
Kwa maana hiyo nchi imeshakuwa ya matajiri tu na kama hauna kitu basi huna haki tena ya kuishi mjini, hii ndio Tanzania wanayotaka kutuletea

Katika sheria za kudhibiti upanukaji wa mji kuna strageties huwa zinatumika ili kulinda watu wa hali ya chini na kudhibiti matajiri kumiliki maeneo makubwa maana nchi ina watu wa hali ya chini wengi zaidi

Mfano wangeweza kuanzisha mradi wa affordable housing for poor kwa gharama ya kupunguza ukubwa wa viwanja vyao na kuwajengea nyumba ya gharama ndogo, au kujenga nyumba za ghorofa ili wawekezaji wapya wafaidike na wazawa wafaidike kuishi humo

Hivyo ndio jamii zilizo starabika huwa zinafanya duniani kote sio mtu kumtoa mjini na kumpelea nje ya mji huko
 
Za Kariakoo Zipo za Tope ila Nje Zimechapwa Plasta huwezi Jua.. Nakumbuka Nyumba ya Udongo ya Mwisho ilikuwepo Mtaa wa Muheza baadae pakageuzwa nyumba Banda la Mpira kisha pakabomolewa Likajengwa ghorofa kubwa miaka ya 2000-2005.

Kuna baadhi ya maeneo vijumba hivyo vimejificha ficha sikumbuki sehemu kuna uzio na vichumba chumba kibao maeneo ya fire Msimbazi kuna Garden - Lumumba kuna Garage and kuna omba omba wanalala usiku kama nilishaona kijumba
Wewe kariakoo huijui kabisa, sasa siku jaribu kutoboa Msikiti wa Idrisa upitie barbara ya Mzizima utokee mchikichini ndio utajua bonde la msimbazi lipo wapi na watu wanaishije huko hapo ndio utagundua mtaa wa jangwani pale ushuani
 
Sawa ni aibu, lakini muda sio muafaka, hali ni ngumu sana kwa wananchi wengi. Walishindwa kujenga wakati hali ni afadhali, jee leo hii si unataka kumvunjia mtu nyumba yake. Wawajengee tuu, kumalizika mchezo.
kuna ugumu gani kama nchi iko uchumi wa kati ?
 
Back
Top Bottom