Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi
Baharia amefeli tuitishe kikao kosa lisijirudie tena
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi

Huyu baharia amefanya usaliti 😆😆😆😆
 
Ukiachwa achika' haiko rahisi hivyo ndio maana haya matukio hayawezi kukoma.

Kuachika? Kwa yule uliyempenda? Wee acha kabisa.
Utalazimishaje penzi? Yaani umpende mtu ambaye hana tena hisia na wewe?


Sometimes inabidi tukubaliane na matokeo hata kama ni machungu,maisha ni lazima yaendelee.
 
Ukiachwa achika' haiko rahisi hivyo ndio maana haya matukio hayawezi kukoma.

Kuachika? Kwa yule uliyempenda? Wee acha kabisa.
Inategemea na kuachika kwenyewe kama kakuacha kwa dharau aaa una mpelekea moto majuto baadae
 
Inawezekana hakua anajua tukio la mbezi makabe ama Alijua na akaamua kufanya anyway.
 
Tunapeana tu taarifa si kwa ubaya!

Ni hivi mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la TINA (kabila tunalihifadhi) kaamua kuchoma nyumba anayoishi mpenzi wake!

Msisahau pendekezo la kuifanya kimara na mbezi kuwa kanda maalum ya mapenzi ya kibabe!

Capture 1.PNG
 
Kulikuwa na haja gani ya kuandika kabila la huyo mwanamke?

Alafu bila picha huu ni umbea tu!
Identity ya kabila ni muhimu sana.
Alarm kwa vijana ambao bado hawajaingia kitanzi cha ndoa.
 
Wanawake mwaka wenu huu

Ndo mana tunashangaa mbona petroli imepanda bei kumbe wanawake mkiongozwa na yule anayesafiri kila muda mna jambo lenu.

Wanaume si mmekataa kuishi na sisi kwa akili!?

Mlidhani Mungu aliyewaambia muishi na wanawake kwa akili anatania eee👣👣👣
 
Back
Top Bottom