mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Zam kwa zamWanawake tumeamua kipindi hiki
Siku mbili 3 zam ya mwanaume tena
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zam kwa zamWanawake tumeamua kipindi hiki
Baharia amefeli tuitishe kikao kosa lisijirudie tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi
Utalazimishaje penzi? Yaani umpende mtu ambaye hana tena hisia na wewe?Ukiachwa achika' haiko rahisi hivyo ndio maana haya matukio hayawezi kukoma.
Kuachika? Kwa yule uliyempenda? Wee acha kabisa.
Inategemea na kuachika kwenyewe kama kakuacha kwa dharau aaa una mpelekea moto majuto baadaeUkiachwa achika' haiko rahisi hivyo ndio maana haya matukio hayawezi kukoma.
Kuachika? Kwa yule uliyempenda? Wee acha kabisa.
Mtachomwa wote Muishe.Tukianza kulipiza msianze kelele zenu za haki za wanawake
Na walivyo wachacheMtachomwa wote Muishe.
Duh!Mtachomwa wote Muishe.
Sema hawq viumbe ndo maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili
Mtachomwa wote Muishe.
Eh kwa style hyo fire extinguisher muhimu 😀Huyu baharia amefanya usaliti 😆😆😆😆
Identity ya kabila ni muhimu sana.Kulikuwa na haja gani ya kuandika kabila la huyo mwanamke?
Alafu bila picha huu ni umbea tu!
Wanawake mwaka wenu huu
Ndo mana tunashangaa mbona petroli imepanda bei kumbe wanawake mkiongozwa na yule anayesafiri kila muda mna jambo lenu.
Eh kwa style hyo fire extinguisher muhimu 😀
Ziwepo ndani
Ova
Kwa sasa ni mwendo wa kuviziana sema hii inaogopesha Ma ex wameamua kulipiza kisasi tutalala juu ya paa maana😀😀Zam kwa zam
Siku mbili 3 zam ya mwanaume tena
Ova