MBEZI: Rais Magufuli azindua kituo kikuu cha Mabasi ya Mikoani

Kuzinduliwa na kufunguliwa ni kitu kimoja ?tuanzie apo
Kuzindua na kufungua vyote ni sawa yaani kurasimisha matumizi.
Kufungua ni neno la zamani zaidi na lilitumika sana baada ya uhuru.

Kuzindua ni neno jipya kutokana na kukua kwa lugha ya kiswahili.
 
Kuzinduliwa na kufunguliwa ni kitu kimoja ?tuanzie apo
Leo kinazinduliwa na kesho ndy kinafunguliaa rasmi kwa kuanza shughuli za usafirishaji. So unaweza ukazindua lakin kisifunguliwe au ukazindua na kufungulia hapohapo
 
Ni vigumu sana kupambana na hii kitu, tumtangulize Muumba na kutumia virutubishi kuongeza kinga.Hakika upo na tutaishi nao kwa kinga za mwili.
 
CCM WALIKUWA WANAFURAHIA KULIKAMATA JIJI LA DAR ES SALAAM LAKINI NAONA SASA WANALIVUNJA JIJI
 
itapendeza kuboresha vituo vya mikoa mingine vikaribie hadhi ya kituo cha Dar es Salaam na Dodoma.

Uboreshaji uwe endelevu
hapana sio vituo vyote nchini, kinachofuata kwa maboresho ni chatoo!.
 

Huyo binti mwenye pensi na Tshirt ya kijani anaoneshwa kwa kurudiwarudiwa sana na kituo kinachorusha matangazo yaelekea camera man anavutiwa naye
 
Tuwekeeni updates na sisi tulio huku mbwinde tujue kunachojiri...
 
Hiki kituo sio kwamba kiliwahi kuzinduliwa kipindi cha campaign? Au kwa sababu nimekua offline labda sijasikia vizuri?
Vikiisha vya kuzindua huwa wanarudia. Kwani wewe hujui kule Mwanza na Singida vilizinduliwa viwanda ambavyo tayari vinafanya kazi kwa zaidi ya miaka 5 iliyopita?

Hujui barabara ya Dodoma to Iringa, Msata to Bagamoyo, ambazo Ni miongoni mwa barabara 7 zilizofunguliwa na JK mwaka 2012, zilifunguliwa tena mwaka 2018?

Subiria kufunuliwa tena kwa flyover ya TAZARA.
 
Akili mbovu kabisa kila kitu eti mfano Marekani nk.... huwezi ata jisifia kutoa mifano hai ya waafrika wenzanko tabia hii hua inanikwaza sana kila kitu mzungu, mzungu .........................
South Africa ni Wazungu kumbe?
 
CCM WALIKUWA WANAFURAHIA KULIKAMATA JIJI LA DAR ES SALAAM LAKINI NAONA SASA WANALIVUNJA JIJI

Machinga, bodaboda, mama lishe lazima wawepo ndani ya stendi lakini madalali hawaruhusiwi...wamachinga 1 (simba) na jiji 0 (waarabu)
 
Napendekeza hicho kituo kipewe jina la "Bakoa" au Nyungu
 
Nilifungua wamefuta..
Hii tuifungulie uzi wake mkuu. Nilimskia pia akiongelea hii nikabaki mdomo wazi.

Katka yote nimevutiwa na mbunge wa kibamba alivyopewa nafasi akaitumia vizuri kuyaelezea matatizo ya wananchi wake kwa njia inayompendeza mtukufu Jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…