Kapicha mkuuMnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Pia, leo nimepita sinza zinafungwa taa baada ya kutandika double road za maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapicha mkuuMnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Pia, leo nimepita sinza zinafungwa taa baada ya kutandika double road za maana
Very truePale hakuzindua Stend alizindua soko la wamachinga.Stendi imejengwa kwa gharama kubwa full kupendeza ingekuwa nembo fulani ya jiji.Ila Wamachinga ndio wanaenda kuharibu kabisa muonekano wake
Ushuzi wako mndukuniBaki na nn yako vile?
Ila stone nilikuwa namkubali sana[emoji848]Imebaki historia asante Mungu
Mim hamna kabisa sijawah mkubaliIla stone nilikuwa namkubali sana[emoji848]
Alikuwa hataki mazoea ya kingese ngese
Ha ha ha ha[emoji16][emoji16]Mim hamna kabisa sijawah mkubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushuzi wako mndukuni
Mpe mpe huyo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ushuzi wako mndukuni
Kamchefua dada etu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mim vile..nilikua namkubal kinoma nomaIla stone nilikuwa namkubali sana[emoji848]
Alikuwa hataki mazoea ya kingese ngese
Jiwe lilikuwa linapenda sifa za kipuuzi sana.Imebaki historia asante Mungu
Anywe tu ili akalione jiwe linavyoongoza malaika uko lilipo.Kunywa sumu umfuate
Ukimuuliza swali la kijinga ana kuambia Baki nayo nyumbani kwako 😂 kama alivyo mwambia yule jamaa sijui ikuwa ni mbezi baki na ma..Ila stone nilikuwa namkubali sana[emoji848]
Alikuwa hataki mazoea ya kingese ngese
Yaaan nimecheka mbavu sina lolKamchefua dada etu....