MBEZI: Rais Magufuli azindua kituo kikuu cha Mabasi ya Mikoani

MBEZI: Rais Magufuli azindua kituo kikuu cha Mabasi ya Mikoani

Sifurahii sana majina yangu kutumika kwenye vitu namna hii. Kwa sababu mnaweza kuita Magufuli Stand, halafu Wamachinga na Mamalishe wakawa wananyanyaswa hapa

Nitaumia sana kama Wananchi hawa wanyonge watakuwa wanafukuzwa, halafu pameandikwa Magufuli. Maana yake itakuwa ni Magufuli anayewafukuza, kwa hiyo sitakubali

Katika stendi hii kuna vitu vingi vizuri ambavyo sijui kama watu wa kawaida wataingia. Kuna Hoteli ambayo sijui kama Machinga ataruhusiwa kuingia

Nakubali hii stendi kuitwa jina langu. Kwahiyo nataka stendi itakapoanza hawa Wamachinga wasifukuzwe kwa sababu ni kwao
1614259341504.png

Watakavyokuwa wanabadili jina nashauri wazingatie alignment ya maandishi maana hapa wameyabana upande mmoja hawajazingatia vipimo kitaalam - mtazamo wangu
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Pia, leo nimepita sinza zinafungwa taa baada ya kutandika double road za maana
Hongera za nn? Kwani katumia hela yake au ya mkewe kujenga kile kituo? Ni Kodi zetu.
 
Hongera za nn? Kwani katumia hela yake au ya mkewe kujenga kile kituo? Ni Kodi zetu.
Ukijenga nyumba yako kwa hela zako unapewa pongezi na watu wasioishi ndani mwako.
 
Naomba tumpe pongezi raisi wetu magu,Kazi imefanyika.
Yaani hela za kujengea hiyo stendi zimetokana na kodi lukuki tunazo lipa sisi, halafu pongezi apewe magu!! Haya nayo sasa ni maajabu. 😟
 
Ukijenga nyumba yako kwa hela zako unapewa pongezi na watu wasioishi ndani mwako.
Jiwe HATUFAI ajiuzulu tu kwa maslahi mapana ya taifa ili apanue wigo mpana wa watanzania wengine wenye uwezo, akili na adabu kuliongoza taifa.

TUMECHOKA
 
That not a favour its a responsibility
 
Ni wajibu wa serikali kuyafanya yote hayo . Au mnasahau wakati wa campaign walinadi ilani ya uchaguzi ?!
Na kujitoa pia bwashehe japo ni wajibu,si unaona ofisi za pale ufipa zilivyo japo ni wajibu wao kuziboresha lakini wameshindwa kujitoa bwashehe
 
Back
Top Bottom