kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Yupo ikulu!
Anayeogopa sanduku la kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayeogopa sanduku la kura
Tecno idumu milele
Sifurahii sana majina yangu kutumika kwenye vitu namna hii. Kwa sababu mnaweza kuita Magufuli Stand, halafu Wamachinga na Mamalishe wakawa wananyanyaswa hapa
Nitaumia sana kama Wananchi hawa wanyonge watakuwa wanafukuzwa, halafu pameandikwa Magufuli. Maana yake itakuwa ni Magufuli anayewafukuza, kwa hiyo sitakubali
Katika stendi hii kuna vitu vingi vizuri ambavyo sijui kama watu wa kawaida wataingia. Kuna Hoteli ambayo sijui kama Machinga ataruhusiwa kuingia
Nakubali hii stendi kuitwa jina langu. Kwahiyo nataka stendi itakapoanza hawa Wamachinga wasifukuzwe kwa sababu ni kwao
Milele na mile[emoji122][emoji122]Tecno idumu milele
Naomba tumpe pongezi raisi wetu magu,Kazi imefanyika.
Ni wajibu wa serikali kuyafanya yote hayo . Au mnasahau wakati wa campaign walinadi ilani ya uchaguzi ?!Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Pia, leo nimepita sinza zinafungwa taa baada ya kutandika double road za maana
Hongera za nn? Kwani katumia hela yake au ya mkewe kujenga kile kituo? Ni Kodi zetu.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Pia, leo nimepita sinza zinafungwa taa baada ya kutandika double road za maana
unashauri viwekwe na stand au nini hoja yako???Muhimbili na Mloganzila wamejenga vibanda vya kujifukiza.....mitano tena.
Ukijenga nyumba yako kwa hela zako unapewa pongezi na watu wasioishi ndani mwako.Hongera za nn? Kwani katumia hela yake au ya mkewe kujenga kile kituo? Ni Kodi zetu.
Yaani hela za kujengea hiyo stendi zimetokana na kodi lukuki tunazo lipa sisi, halafu pongezi apewe magu!! Haya nayo sasa ni maajabu. 😟Naomba tumpe pongezi raisi wetu magu,Kazi imefanyika.
Jiwe HATUFAI ajiuzulu tu kwa maslahi mapana ya taifa ili apanue wigo mpana wa watanzania wengine wenye uwezo, akili na adabu kuliongoza taifa.Ukijenga nyumba yako kwa hela zako unapewa pongezi na watu wasioishi ndani mwako.
Nimetoka Tabora to Kigoma, then Kigoma - Uvinza - Mpanda aisee hiyo barabara ni hizi mvua nilijuta the whole trip.Wamikoani tunaomba tupichapicha nasisi tuone wajameni.
Na kujitoa pia bwashehe japo ni wajibu,si unaona ofisi za pale ufipa zilivyo japo ni wajibu wao kuziboresha lakini wameshindwa kujitoa bwasheheNi wajibu wa serikali kuyafanya yote hayo . Au mnasahau wakati wa campaign walinadi ilani ya uchaguzi ?!