Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Kwani hii akili ya uchaguzi wa zuri na baya imewakwa nanani aliyeziwela alijua IPI itakuwanangu kwangu nakama alijua na ilafanya kama alivyojua ninani wakuraumiwa aliyeziweka au mtumiaji?
 
Kwani hii akili ya uchaguzi wa zuri na baya imewakwa nanani aliyeziwela alijua IPI itakuwanangu kwangu nakama alijua na ilafanya kama alivyojua ninani wakuraumiwa aliyeziweka au mtumiaji?
Aiseeee, ebu soma tena hiki ulichoandika dogo.
 
Aiseeee, ebu soma tena hiki ulichoandika dogo.
Asate kwa kunisahihisha. Nilikuwa namanisha hivi. Kwani hii akili ya uchaguzi wa zuri na baya imewekwa nanani aliyeziwela alijua ipi itakuwa nanguvu kwangu nakama alijua na inafanya kama alivyojua ninani wakuraumiwa aliyeziweka au mtumiaji?
 
Hahahah! sasa unatoa referrence kutoka kwenye hicho hicho kitabu cha watu unahisi nitakuelewa?
 
Jana na mimi nimetoka mbinguni kwa mwanangu mmoja 🤣🤣🤣
 
Hahahahaha dah
 
Inaonekana una amini Mungu kwa sababu umetishiwa moto. Mbali na hayo matisho Mungu ni Hadith ya kufikirika tu. Hayupo hajawai kuwepo na hatokaa awepo
Kama akili yako imesalimika bila kuchafuliwa na fikra za wana falsafa na wapuuzi wengine basi hata wewe mwenyewe ukijitizama ni ishara tosha kuwa yupo aliyekuumba, mambo ya moto ni imani ya juu sana jitizame tu kwenye kioo ni ishara tosha.

Kwahyo huu ulimwengu, mvua kunyesha, upepo, bahari kupwa na kujaa, watu kuwa matajiri wengine maskini, wengine kulia machozi wengine kucheka, wengine kufa wengine kuzaliwa, wengine kuishi maisha marefu wengine kufa mapema, mambo yote haya anayafanya putin sio?.
 
Roho zote kabla ya kuingia ktk tumbo la mwanamke na Kuzaliwa mtoto wa kike au kiume ASILI yake ni MBINGUNI.

Hata bila kwenda Mbinguni, IPO connection ya Roho na Mbinguni.

Mungu husema na Kila mtu Usingizini katika NDOTO, Maono au ktk Ulimwengu wa Roho.

Mungu kusema nawe na usisikie au kuelewa haimaanishi kuwa hasemi na WANADAMU.

Tusiwe wabishi, Tujifunze namna ya kuisikia sauti ya Mungu na kuelewa asemacho maana daily husema nasi na Kila tulalapo Huwa tunaenda Mbingu mbalimbali Kila tulalapo.
 
Wapi kwenye Qur'an pameandikwa mtu wa mashariki ya kati atafufuka 2023, mkuu mnalala vizuri kweli usiku?.
 
Sasa mbona umerudi hukuchagua kubaki mbinguni. Au kule hakuna mbususu ukaona weee wasikutanie
Nathamini muda na comment yako asante kwa kucomment ila jitahidi kuficha uchi wa akili yako mbele za watu. Unajidharirisha na kujivua nguo. Ungepita kimya tusingeona uchi wa akili yako.
 
Sikatai mungu yupo ila hayo mengine, mmmmhh!

@kazakhdestoyer na Kinengunengu usikute na nyie mnaamini kuwa yesu ndie mungu muumba
 
Fungua U-tube, tafuta mtu Sonhguru, amesema nini kuhusu Mbinguni!! Maisha ni haya haya, hakuna mengine zaidi ya haya.
 
Asilimia kubwa ya wanaopinga kuhusu Mungu na Mbingu ni WITCHES.

Kuna watu humu wanashuka kuzimu kutafuta Mali, lakini ni WA kwanza kupinga INJILI, uwepo wa Mungu na Uweza wake.

Wanazijua Kona zote za KUZIMU na hawataki watu wamjue Mungu na Mbingu iliko asili ya Roho zote za WANADAMU.
 
ulisema ulikuta mbinguni wanaimba je ilitumika lugha gani huko..?
 
Ili uishi kwa amani, kariri kuwa hizi ni hadithi za sungura. Mbinguni na motoni ni maisha unayoishi hapa duniani. Maisha ya raha ni Mbinguni na maisha ya mateso ni motoni. Ukifa ni jumla.
 
Shalom Mtumishi wa Mungu!

Binafsi ni Mkristo, ninayeabudu kwenye Kanisa lolote lile pale Moyo wangu ukijiskia Amani kwalo.

Kama Mkristo ambaye namwabudu Mungu, naamini juu ya Mwanae Yesu Kristo, na kama Mkristo ambaye nasoma Biblia, kufunga na Kuomba, ili kuwa karibu na Mungu, na kwa Mkristo yoyote yule aliye hai ndoto yake baada ya Maisha haya ni kwenda Mbinguni kwa Mungu Baba!

Tunasoma Biblia kwa uchache inagusia kuhusu Maisha ya Mbinguni, tumekua na Nadharia nyingi na watu kutaka kufahamu kuhusu Mwonekano, Mazingira ya huko Mbinguni japo watu kujaribu kupata picha kukoje, ila mara nyingi ni kuwa lazima Maisha yako yaishe kwa Wema hapa Duniani ili upate nafasi kufika huko!

Nina furahi kusikia kwamba Mtoa post umefika huko kupitia Ulimwengu wa roho!

Nina maswali machache nataka kukuuliza!

Nitaanza na Maswali, umesema ulipofika Mbinguni ulikuta Watu wanaimba Wimbo ambao pia naupenda sana " Mungu wangu, nashangaa Kabisa........!"

1. Je! Huo wimbo ulikua unaimbwa kwa Lugha gani!?

2. Wewe na Malaika mlikua mnaongea Lugha gani!?

3. Malaika kwa Mwonekano alikua wa Rangi gani!? (Mwafrika, Mzungu, Mchina).

4. Hao watu uliowakuta huko Mbinguni mkiimba wote, walikua katika Mwonekano wa jamii moja, Rangi moja, ama Races mchanganyiko kama tulivyo Duniani!?

5. Katika hao watu huko Mbinguni kulikua na Wazee, Vijana na Watoto ama wote walikua katika rika moja?

Asante Mtumishi, ni katika tu kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…