Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Tayari njoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari njoo
Sawa sawa kabisaWewe ikitokea umenifunga..naenda kurusha mawe kwenye mkutano wa raisi
Huyo jamaa anaimba hatariTayari njoo
Yea, hii ishu ndiyo ilifanya nisiwe nacheza kule. Nilijiunga nikakuta ndiyo raia wanailalamikia balaa.Afu kuna watu wanatumia dalmax nisha gundua
Nishampaka mafuta goli mbili..ni demu wangu mpya huyoHuyo jamaa anaimba hatari
Wewe unifunge Mimi , huwezi nifunga , itakuwa umemgunga tura mwingineCastr ujue tayari nshavisha dera @Eng.zezudu
Kingmwando ndo natumia hii id ,huwezi nifunga wewe tura tuCastr ujue tayari nshavisha dera @Eng.zezudu
Nabii nimekuona ukicheza ndakuja kuchukua point zakoNjoo tucheze nimejisajiri kama Nabii
We tura nimekupigia goli mbili umefanikiwa kuchomoa , ukaamua ukimbieCastr ujue tayari nshavisha dera @Eng.zezudu
We tula mi bingwa..na goli LA kwanza nilijiangusha ...we uliona WAP king I mbili zinafunga kingi moja kwa mchezaji mkubwa kama Mimi..?We tura nimekupigia goli mbili umefanikiwa kuchomoa , ukaamua ukimbie
Sent using Jamii Forums mobile app
juma mpemba mmekutana wabeba hirizi. Ila jumampemba nadhiri ya kuurushia mawe msafara wa rais ni kubwa hebu shusha kwanza maana nikitaka kukufunga naona imani naachia sare. Na uache kukimbia.We tura nimekupigia goli mbili umefanikiwa kuchomoa , ukaamua ukimbie
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua nakupima kama utaweza kuzuia mafuriko na makalio..umeshindwa kulinda goli mbili...We tura nimekupigia goli mbili umefanikiwa kuchomoa , ukaamua ukimbie
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanga mmekutana.We tula mi bingwa..na goli LA kwanza nilijiangusha ...we uliona WAP king I mbili zinafunga kingi moja kwa mchezaji mkubwa kama Mimi..?
Mi hatari ndo mana nikaja na I'd yangu ya humuhumujuma mpemba mmekutana wabeba hirizi. Ila jumampemba nadhiri ya kuurushia mawe msafara wa rais ni kubwa hebu shusha kwanza maana nikitaka kukufunga naona imani naachia sare. Na uache kukimbia.
Siyo kakufunga mbili moja drafti la tatu ukayeya?Nishampaka mafuta goli mbili..ni demu wangu mpya huyo
Labda nabii wa vicoba..njoo upande kitandani na dera lakoNjoo tucheze nimejisajiri kama Nabii
Nimechomoa zote mbili....Siyo kakufunga mbili moja drafti la tatu ukayeya?
Kwahiyo we mwanaidi unatumia na I'd ya Ayubu kule. ..!?? Ukipigwa unakimbia na gagulo lako unabadili I'd.....hahaaaaaWewe unifunge Mimi , huwezi nifunga , itakuwa umemgunga tura mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app