Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Darius RR ,Castr Scars CARDLESS,
Nimepiga huyu Jamaa anae jiita scars6 mpaka kaamua kunikomoa kwa kulala nusu saa nzima ni tura tu, alete ela nimuongeze Mbinu zaidi, tula huyu
Nimemchapa goli tatu na sare moja


Sent using Jamii Forums mobile app
nilikua naji multitask Kuna ishu nilikua naifanya nilikosa utulivu na ndo maana ulikua unaona kama napiga usingizi.

Nikitulia nitakuita nikukague
 
Darius RR ,Castr Scars CARDLESS,
Nimepiga huyu Jamaa anae jiita scars6 mpaka kaamua kunikomoa kwa kulala nusu saa nzima ni tura tu, alete ela nimuongeze Mbinu zaidi, tula huyu
Nimemchapa goli tatu na sare moja


Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu goli ulilonifunga hata mwenyewe sidhani kama unalifurahia, maana time limit ndio iliyokupa ushindi ila kiuhalisia lilikua sare.

Nazungumzia lile bao ambalo nilikua main road halafu kuna kete nakula ambapo baada ya hapo nilikua nakupiga mdundo nakula kete mbili na ulikua mchezo wa lazima hauepukiki, lakini ukapewa eti goli

Now nime change settings nimeweka 60 minutes, nikitulia nakuita
 
Halafu goli ulilonifunga hata mwenyewe sidhani kama unalifurahia, maana time limit ndio iliyokupa ushindi ila kiuhalisia lilikua sare.

Nazungumzia lile bao ambalo nilikua main road halafu kuna kete nakula ambapo baada ya hapo nilikua nakupiga mdundo nakula kete mbili na ulikua mchezo wa lazima hauepukiki, lakini ukapewa eti goli

Now nime change settings nimeweka 60 minutes, nikitulia nakuita
[emoji3][emoji3][emoji3] me mtu hatari sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom