Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

basi ipo as default maana hata mimi nimeshangaa eti nacheza na mdau gemu bado mbichi nakuta naambiwa nime loose

Ukiset table, nenda kwenye settings utaona mahali pa kuongeza muda, weka dakika kama 20 hivi.
 
Kwa hili neno ulilokuja nalo wewe ndiye umemfunga scars halafu ukaniambia kamlete tura wako. Nikakuweka ukakimbia
Unatumia jina gani ili nikikupata nikupe dozi , hafu nije kukujibu huku , who are u by the way😲😲😲 me ni bigwa wa mabigwa
 
Back
Top Bottom