Nimepiga na mmoja. Tumetoa sare ila analala sana.
Unatumia ID gani nikupasue?
Dariusrr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepiga na mmoja. Tumetoa sare ila analala sana.
Hili kuna njemba linatumia sanaHufuata namna hi.
View attachment 1840854
Bulicheka, hivimkuu hatufahamiani kweli? Ntaonq kopi yako kesho.Unatumia ID gani nikupasue?
Dariusrr
Darius umehangaika hili bao hadi jamaa kaaamua ajifungishe.
View attachment 1841693
Nimecheza sijui na nani yule
Hahaha ngoja kwanza niombe mechi kama uko online njoo nikupige vikomne vya kooScars ukimaliza na jamaa nakusubiri, natumia Dariusrr.
Nikupasue pasue.
Hahaha ngoja kwanza niombe mechi kama uko online njoo nikupige vikomne vya koo
Amenifunga goli zaidi ya tatu. Suluhu moja. Nimemfunga moja.
Amenifunga goli zaidi ya tatu. Suluhu moja. Nimemfunga moja.
Ukicheza naye jihadhari inaonyesha ni mlozi huyo bwana.
Mh we mbona unaonekana hamna kitu?Hahaha, nasubiri nikurusishie magoli yako.
Anadhani huna wa kukutetea?
Mh we mbona unaonekana hamna kitu?
Naapia kuna goli kapata yeye mwenyewe akaganda kama sekunde 50 ila nini ngoja nirenew password
we tura ujui kitu kwenye haya madudeDraughts au checker ina kopi mbili tu zenye nguvu za kuanza. Zingine zote utakimbizwa. Njia hizo ni hizi.
View attachment 1840824
View attachment 1840830
Kwa hili neno ulilokuja nalo wewe ndiye umemfunga scars halafu ukaniambia kamlete tura wako. Nikakuweka ukakimbiawe tura ujui kitu kwenye haya madude