Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 971
- 1,165
hyo french si ndo hta kinyumenyume mwalana.! 😁Kumbuka kuna French na British anataka ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo french si ndo hta kinyumenyume mwalana.! 😁Kumbuka kuna French na British anataka ipi
Umecheki kile kipigo cha kufungiwa kingi yako?Kurecover akaunti imekua ishu. Naitwa mabata
We tura muulize Darius nimempiga ngapi , 5 kwa moja, Sasa wewe unaweza enda goli kumi bila sare hata mojaMbona unaonewa sana na Darius RR wakati huyo jamaa kinabo tu
Mbona unaonewa sana na Darius RR wakati huyo jamaa kinabo tu
Mi mbona nikicheza KING inakuwa haili? Msaada jmn shida ni nini?Wewe nimekufunga 7 Kwa 5.
Nilimpiga mbona mwepesi tuKuna mwamba anaitwa mdakabomu anavyoanza unaweza mpiga hadi goli 5 ukahisi ni kibonde. Jamaa jana nilimchakaza goli 5 lkn nashangaa alianza nipigia sijui kopi gani nikala mvua 10 mfululizo. Kama upo humu ndani leo nakusaka nikitoka tu job.
Scars dawa yako inachemka. Utaacha kuleave na kujoinUmecheki kile kipigo cha kufungiwa kingi yako?
Unaleta masihara kweli brazamen wewe. Yaani mboga nyepesi mule ni wewe na chapati uliyokua unaiburuza kuna tozi mwingine anajiita ppn nini sijui yaani nyinyi ni chai ya maziwa.Wewe nimekufunga 7 Kwa 5.
Mzee nyimbo nyingi halafu id yako hauitaji. Nikikufuma utaelewa.We tura muulize Darius nimempiga ngapi , 5 kwa moja, Sasa wewe unaweza enda goli kumi bila sare hata moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize Darius RR anaifahamu, Mana nilimwambie afungue table ,nimuadhibu, nimempiga goli tano, na kapata moja la bahatiMzee nyimbo nyingi halafu id yako hauitaji. Nikikufuma utaelewa.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] eti kete zinajisukuma matura bhana mnachekesha, mbona sijawahi ona ilo tatizoGoli nyingi sana, tatizo la simu ya techno, kete zilikuwa kuna muda zinajisukuma.
Mnafanyaje kuweze muzitumia KING zenu mazee mi kila tangia jana usiku siwezi tumia King naona sijui shida ni nini..Nilimpiga mbona mwepesi tu
Hahahaha nimeona.Darius RR ,Castr Scars CARDLESS,
Nimepiga huyu Jamaa anae jiita scars6 mpaka kaamua kunikomoa kwa kulala nusu saa nzima ni tura tu, alete ela nimuongeze Mbinu zaidi, tula huyu
Nimemchapa goli tatu na sare moja
Sent using Jamii Forums mobile app