Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Akaunti inahusikainahitaji account au robotic tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaunti inahusikainahitaji account au robotic tu?
Hiyo itanisumbua ila ni sare. Nakuomba namna hii.Nice move, ila hapa nairudisha kete yangu kwa namna hii humu sare ikionekana kwa upande wako wakati mimo nasubiria makosa yako mi scoreView attachment 1841582
Niko active kwa hiyo website username yangu ni Scars6.....siwaoniRed Giant na Scars web hii hapa.
PlayOK - Play Tanzanian Draughts Online Free, TZ draughts
www.playok.com
Red Giant humo ni waTz watupu tunakutana. Ila mi nataka tukutane watu wa JF, Scars network kua down siyo ishu sana. Au?
Mimi natumia username Caina. Atakayefungua username fasta tuwasiliane mnifundishe.
Nakula moja hapo kisha nakuachia msala mkubwa sana hapo baadaye
Nisha fungua nimejaribu kucheki active members nimeona watu wameweka username zenye mikwara nimebakia nacheka tuAkaunti inahusika
Nakukata, tunakuwa namna hii.Nakula moja hapo kisha nakuachia msala mkubwa sana hapo baadayeView attachment 1841594
Inakua zamu yako, whats your next move?
Mbona naona unakamuana na mtuNisha fungua nimejaribu kucheki active members nimeona watu wameweka username zenye mikwara nimebakia nacheka tu
Huu mguu huwa nauelewa sana. Tutauchunguza nao.Endapo ningekua mimi ndio mpinzani wako basi hivi ndivyo ambavyo ningechezaView attachment 1841100
Umesema we unatumia nani nikutandike😀😀Mbona naona unakamuana na mtu
Nimetoka kumuua mtu sasa hivi hukoView attachment 1841609
Mshikaji uliyecheza naye na mimi nimeruka naye.Nisha fungua nimejaribu kucheki active members nimeona watu wameweka username zenye mikwara nimebakia nacheka tu
Umeghairi unataka sasa hivi?😅😅😅Umesema we unatumia nani nikutandike😀😀
Nimetoka kumuua mtu sasa hivi hukoView attachment 1841609
Nimepiga na mmoja. Tumetoa sare ila analala sana.Umeghairi unataka sasa hivi?😅😅😅
Ebwana nimesahau paswed yangu. Nitajie username nikukute kama guest
Uko wapi hapo? Andaa gameScars ukimaliza na jamaa nakusubiri, natumia Dariusrr.
Nikupasue pasue.
Uko wapi hapo? Andaa game
Tuma za kutosha kuua wanaanzia pembeni kushoto kwake mpaka pembeni kabisa mstari wa pachaPhrasal Verbs unashingapi nikutumie izo copy wasap au inbox.
Nakupa maelezo fuu mafunzi ya video
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii rahisi wengi wanaanzia hii. Mimi nakukata na kete ya ikweta vile vileDraughts au checker ina kopi mbili tu zenye nguvu za kuanza. Zingine zote utakimbizwa. Njia hizo ni hizi.
View attachment 1840824
View attachment 1840830