Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Sasa kasto iyo ngoma so ulikua umekufa wewe..tatizo Niki refresh Mara tatu..naona nimelose....yani katika lose zangu 9 nimefungwa tatu tu...6 ni Ku refresh page
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kasto iyo ngoma so ulikua umekufa wewe..tatizo Niki refresh Mara tatu..naona nimelose....yani katika lose zangu 9 nimefungwa tatu tu...6 ni Ku refresh page
Iyo ngoma nlikua nshakuua nawew unalijua hiloNjoo jumampemba miyeyusho.
Hivi wewe unataka nikufunge magoli mangapi ili unipe heshima yangu!
Saivi natembea na mafuta...sasa yatakayokukuta we zambwa utaliaWewe tura nimekupiga goli mbili ukakimbia, baada ya kuzichomoa kwa tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile
Wewe tura ndakufanyia ukarabati mpaka utakuwa unaniogopaSaivi natembea na mafuta...sasa yatakayokukuta we zambwa utalia
Njoo jumampemba miyeyusho.
We ashaboko unatumia I'd gani
Hahaaa. OK..ntakutaftaDariusrr, jana nimevamia wakulungwa wameniharibia record.
Nahisi niliingia chumba cha wagonjwa wa corona bila barakoa.
Wewe Kofi LA mke haliumi....mi nakubembeleza ivo ivo mpaka ujitolee mahari
Mbona ukiniona online unakimbia, nimekuja unacheza na Geobest ukaamua kukimbiaWewe Kofi LA mke haliumi....mi nakubembeleza ivo ivo mpaka ujitolee mahari
Yani geobest analala balaaa..sasa kila Niki refresh page naonekana ni ndo nimelose...wakati nlikua nampaka mafutaMbona ukiniona online unakimbia, nimekuja unacheza na Geobest ukaamua kukimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
mi mwenyewe ntaikacha, nimegundua hilo baada ya kutoa time limit nikajikuta karibia kila gem eti nakimbizwa tu mimiYea, hii ishu ndiyo ilifanya nisiwe nacheza kule. Nilijiunga nikakuta ndiyo raia wanailalamikia balaa.
mi mwenyewe ntaikacha, nimegundua hilo baada ya kutoa time limit nikajikuta karibia kila gem eti nakimbizwa tu mimi
Nimecheza na watu wawili kwa kutumia copy moja ila cha ajabu eti wote wamecheza mchezo wa aina hiyo hiyo mpaka umaliziaji, yaani kete aliyosukuma mpinzani wangu wa kwanza ndio hizo hizo alizosukuma mpinzani wapili
Nakubembeleza usiondoke we unaondokaBaadae saa 7 kamili ntakuja, nataka usipate goli hata moja.
Ushindi wako uwe drop tu
Nakubembeleza usiondoke we unaondoka
Mi mwenzako machungu namalizia kwa Darius RRmi mwenyewe ntaikacha, nimegundua hilo baada ya kutoa time limit nikajikuta karibia kila gem eti nakimbizwa tu mimi
Nimecheza na watu wawili kwa kutumia copy moja ila cha ajabu eti wote wamecheza mchezo wa aina hiyo hiyo mpaka umaliziaji, yaani kete aliyosukuma mpinzani wangu wa kwanza ndio hizo hizo alizosukuma mpinzani wapili
PoaNaandaa uwanja, njoo.
We queen unajisifu unawatambia wenzio kwasabu jana ulifturu na sheikh? naona kelele zimekua nyingi mtaani utakamatika tu dadeki zako
Wewe tura nilikupiga magoli mawili hapo , kaa kimyaWe queen unajisifu unawatambia wenzio kwasabu jana ulifturu na sheikh? naona kelele zimekua nyingi mtaani utakamatika tu dadeki zako