Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mida ntakucheki saizi niko busy kidogomkuu sogea nikutungue mawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida ntakucheki saizi niko busy kidogomkuu sogea nikutungue mawili
Hata ukiweka sekunde tano , ndakufunga ivyo ivyoUna magoli ya plastic hayaozi?
Magoli yenyewe yakupewa na kamisaa umejisetia time limit wakati mi nimekupa uhuru unlimited?
Sasa saizi naset mwisho sekunde 20 ukipilitiza napewa ushindi wa mezani kama ambavyo umepewa wewe
FundiKeteUnatumia jina gani we kibonde?
Mamdogo hii ngoma umeicheza kiutofauti sana..hii copy ulitema ile kete Kali sanajuma mpemba wasalimie zenji kawaoneshe goli la kideoView attachment 1844010
Baada ya hili goli akakimbia au siyo game hii?juma mpemba wasalimie zenji kawaoneshe goli la kideoView attachment 1844010
Juma mataarabuMamdogo hii ngoma umeicheza kiutofauti sana..hii copy ulitema ile kete Kali sana
We ndo achana na madraft kabisaa...bora uanze kukanda maandaziJuma mataarabu
Mi unanifurahisha unavyokimbia tu ukianza kupapaswa😅😅We ndo achana na madraft kabisaa...bora uanze kukanda maandazi
Changamoto nayoipata kwenye hizi app za checkers ni kuwa sheria wanazozitumia zipo tofauti sana na mazoea tunayocheza mtaani. Mfano. Kwenye Dalmax king hawez kuruka vyumba. Je kuna namna ya kucustomize rules?
Mda wa kulinda ndoa uleMi unanifurahisha unavyokimbia tu ukianza kupapaswa😅😅
Utamu wa draft watu tunasahau mpaka kula kitumbuaMda wa kulinda ndoa ule
Sio kweli....kuna copy dalmax amekariri....ukimjua hakufungi....kwa mfano akianza anaanza na kete ya major....hapo hanifungi ng'oo....nikianza mimi kete ya major ni sare....ila mchezo huo huo nikicheza na mtu mtaalmu ananifungaKing anaruka.
Weka Tanzanian Rules ndio utaenjoi.
Difficulty: Weka 100%.
Ukimfunga DALMAX wewe ushajua danari na unaweza kupiga na yeyote!
Umejitetea vizuri. Tukutane maabara ukimaliza ulinziMda wa kulinda ndoa ule
We tamba tu
Sa mbona unanikimbia wewe jamaa wakati mi nataka unifundisheSio kweli....kuna copy dalmax amekariri....ukimjua hakufungi....kwa mfano akianza anaanza na kete ya major....hapo hanifungi ng'oo....nikianza mimi kete ya major ni sare....ila mchezo huo huo nikicheza na mtu mtaalmu ananifunga
Nikuuzie copy , unazicheki hafu tunaenda kuzifanyia mazoezi onlineSa mbona unanikimbia wewe jamaa wakati mi nataka unifundishe
Mabata uwezo wako mdogo Sana, bluu bahariDarius RR kama hauna vocha niambie nikutumie uweke mb
Nilifika hadi kijani nikawa naruka na kila mtu nikakutana na raia hata jina hana. Moto uliwaka.