Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Unatumia jina gani nikiwa nakushona nikujue?ukiwafunga wanakimbia game.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia jina gani nikiwa nakushona nikujue?ukiwafunga wanakimbia game.
Tabia ya juma mpembaukiwafunga wanakimbia game.
kibonde sugu ni tula wa matulaCastr da mnalegeza sana mazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] υjυe мι ѕιo ĸιвonde ѕeмa nѕнazoea ғrencнι нιlo вrιтιѕн ѕιlιjυι vιzυrι nιlιjιғυnza нιvι мajυzι ιla ѕιo мвaya jana na мιмι nιlιpaтa тυra мoja nĸajιpιgιa anajιιтa @kibondesugu [emoji16][emoji23]
si kunasehemu ya kuchati pale mnakubaliana tu kwamba Leo tucheze gemu kumihalafu tukubaliane, mle ndani game ni ngapi? moja, mbili au tatu. hii ya kukimbia kimbia siyo poa.
Eti Tula wa matula [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nιмecнeĸa ѕanakibonde sugu ni tula wa matula
Ulivyosema dalmax unampiga sana sikujua kama ni frenchCastr da mnalegeza sana mazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] υjυe мι ѕιo ĸιвonde ѕeмa nѕнazoea ғrencнι нιlo вrιтιѕн ѕιlιjυι vιzυrι nιlιjιғυnza нιvι мajυzι ιla ѕιo мвaya jana na мιмι nιlιpaтa тυra мoja nĸajιpιgιa anajιιтa @kibondesugu [emoji16][emoji23]
kama unahitaji copy online njoo, nicheki wasap Nikuuziengoja nιje onlιne
we castr ni tula Sana, inatakiwa Nikuuzie copy , umepigwa mpaka umeshuka daraja ,utula huo, Jana mwanafunzi wangu kashinda laki moja league ya draft uku kwetu ,Ulivyosema dalmax unampiga sana sikujua kama ni french
Kuna Jamaa nimemuuzia copy mbili tu , saiz anasimbua mtaani kwao, pandu na samba ,saizi anaitwa bigwa huko kwao wewe unasubiri Nini? Nicheki pm Nikuuzie ,Eti Tula wa matula [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nιмecнeĸa ѕana
Mwamba una njaa had copy unauza.Kuna Jamaa nimemuuzia copy mbili tu , saiz anasimbua mtaani kwao, pandu na samba ,saizi anaitwa bigwa huko kwao wewe unasubiri Nini? Nicheki pm Nikuuzie ,
Draft ni copy na hesabu ila ukiwa unapiga hesabu bila kujua , hesabu zinaweza kupelekea kufungwa , unajitega tu. Kama sumu ya pandu, unaona draft laki zuri ,kuja kushituka ushatupiwa goli.Ulivyosema dalmax unampiga sana sikujua kama ni french
Haha mzee fundi gani anaetoa copy Bure , we si hujui, ujui wakina noel, issa mamba , nduli wote wanauza copy, hawachezi Bure,Mwamba una njaa had copy unauza.
watu wanacheza lakini Kuna watu wametoa ela kuangalia pambano , we si mgeni wa haya mdude ,Mwamba una njaa had copy unauza.
Haha mzee fundi gani anaetoa copy Bure , we si hujui, ujui wakina noel, issa mamba , nduli wote wanauza copy, hawachezi
Hao wote vibonde.Haha mzee fundi gani anaetoa copy Bure , we si hujui, ujui wakina noel, issa mamba , nduli wote wanauza copy, hawachezi Bure,
kwani mkulima, alivyokuwa anapambana na noel , Ronald, ramso, na wengine zile oj si Kuna watu walizamini ule mpambano, au ulizania walicheza Bora, mpambano wa mkulima na Ronaldo iliwekwa 20000, watu tushuhudie mpambano,Hao wote vibonde.
Heri ninunue kwa mkulima mtaalam wa madanali.
Ht ww bdo tura sana huna miguu yeyote ya kunikimbiz