Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Kuna mwamba anaitwa mdakabomu anavyoanza unaweza mpiga hadi goli 5 ukahisi ni kibonde. Jamaa jana nilimchakaza goli 5 lkn nashangaa alianza nipigia sijui kopi gani nikala mvua 10 mfululizo. Kama upo humu ndani leo nakusaka nikitoka tu job.
Hahahahahaha vp sie wa pembeni tunaweza anaangalia mchuano live
 
Mimi mgumu kukariri copy mimi hua naimprovise humo humo. Kwa jinsi Red Giant ameanza naona ni kopi inayohitaji umakini sana.

Sasa tuache stori ndefu. Kuna website kabisa ambayo watu hua wanacheza online, mimi sikupendezwa sana kwakua wachezaji wa mule naona miyeyusho.

Hiyo website unatengeneza id ila kwa siku ya kwanza utakua hauwezi kucoment bali kucheza tu mpaka kesho yake. Kama kuna mtu anaona yuko fresh aniambie nimtajie web husika akafungue id tukutane kule tufundishane vizuri.

Kwako Scars pia.
Nipe hiyo web
 
juma mpemba wasalimie zenji kawaoneshe goli la kideo
Screenshot_20210706-232824.png
 
nimeshuhudia game kali sana kati ya Chivundu na Upupu. wale watakuwa ni mabingwa sana.
 
Una magoli ya plastic hayaozi?

Magoli yenyewe yakupewa na kamisaa umejisetia time limit wakati mi nimekupa uhuru unlimited?

Sasa saizi naset mwisho sekunde 20 ukipilitiza napewa ushindi wa mezani kama ambavyo umepewa wewe
mkuu sogea nikutungue mawili
 
Back
Top Bottom