Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Wewe chapati taja id yako nikusake unipe pointsNgoja nijisajili niwagonge nyie mapimbi wa dude.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe chapati taja id yako nikusake unipe pointsNgoja nijisajili niwagonge nyie mapimbi wa dude.
DuhHiyo yoote hamjawahi cheza hata "chomoa nijambe"
Kwa kingereza wazungu wanaita french[emoji144][emoji144][emoji144]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Darius RR juma mpemba na wenzenu mmeamua kunikimbia
njooni muone game ya mkulima na somebody janja
Hapa hatuzungumziu frenchHiyo yoote hamjawahi cheza hata "chomoa nijambe"
Kwa kingereza wazungu wanaita french[emoji144][emoji144][emoji144]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nipo we mwanafunzi wanguKwahiyo Darius RR juma mpemba na wenzenu mmeamua kunikimbia
Yaani nikikuona tu najua leo mipoint ya kumwagaUkiwa hewani nijulishe, naona umepata pata points kwa vibonde
Kopi yako inanipigisha we kibonde. Eng. Zezudu wanamnyoosha hata kuangalia anavyocheza ni aibuMi nipo we mwanafunzi wangu
Mzee nani kanifunga , Yule Jamaa tumetoka mbili mbili, nilikuwa natesti mitambo tu, me ni hatari sanaKopi yako inanipigisha we kibonde. Eng. Zezudu wanamnyoosha hata kuangalia anavyocheza ni aibu
Mda gan hizo game?Baadae kuna game Manyanya, za mabingwa 8.
Mabingwa ni nani na nani?Baadae kuna game Manyanya, za mabingwa 8.
Mda gan hizo game?
Umeiva au mbwembwe nyingi?Saa 10
Mabingwa ni nani na nani?
Umeiva au mbwembwe nyingi?
Nikitoka na mwendokasi kimara nashuka kituo kipi nifike manyanya kwenye draft hapo.Noel, Simba, Issa Mamba, Dogo Sisqo, Nduli etc.
Ila Ronaldo sinapata taarifa kama atakuwepo.