Nikitoka na mwendokasi kimara nashuka kituo kipi nifike manyanya kwenye draft hapo.
Shukia Kinondoni B, upande huo huo unaoshukia rudi nyuma, kama mwendo wa dakika 5 utakuta watu wanacheza draft na kuna pool table hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikitoka na mwendokasi kimara nashuka kituo kipi nifike manyanya kwenye draft hapo.
Utakuta option ya kulog in, register na guest.Jamani salama humu ndani....nimesoma huu uzi na kuupenda nimeingia mpaka kwenye izo link lakini sijaelewa jinsi ya kuanza kucheza.....naombeni muongozo kuanzia kujiunga na jinsi ya kucheza
Uko vyema?Shukia Kinondoni B, upande huo huo unaoshukia rudi nyuma, kama mwendo wa dakika 5 utakuta watu wanacheza draft na kuna pool table hapo.
Uko vyema?
Nakaribia kufika washaanza kuumana?Saa hizi ratiba haiko safi, baadae kidogo.
Nakaribia kufika washaanza kuumana?
Wewe me ni bigwa mkubwa sana, huwezi nifunga , fungua table nikuchape hafu Nikuuzie na ujuzitulaJana nilienda kuchukua marekebisho kwa Bedui, sasa nasubiri ujichanganye.
Unambinu Nikuuzie Mbinu za kuwajeruhi watu,Jamani salama humu ndani....nimesoma huu uzi na kuupenda nimeingia mpaka kwenye izo link lakini sijaelewa jinsi ya kuanza kucheza.....naombeni muongozo kuanzia kujiunga na jinsi ya kucheza
Nakaribia kufika washaanza kuumana?
Iliendaje ligi?Inasubiriwa Fainali ya Nduli dhidi ya Sisqo.
Natumaini upo kijiweni.
Iliendaje ligi?
Nilifika nikacheki game nikapata dharura ila niliacha sisqo kamshona raia 3 game ya 9 nusu fainali.Fainali wapo, mwenyewe ndo nimefika muda wa nusu fainali.
Nduli na Sisqo wako kazini.
Game zinaendaje nduli ameipania sana hyo 70.Fainali wapo, mwenyewe ndo nimefika muda wa nusu fainali.
Nduli na Sisqo wako kazini.
Game zinaendaje nduli ameipania sana hyo 70.
Dogo anasepa na mzigo.Nduli Nusu fainali amemfunga Mboma goli 2 bila.
Sisqo anaongoza 2 bila game ya 12.
Dogo anasepa na mzigo.
Kam unaweza uza hesabu sema.