Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
uchawi chiefWanapatikana wapi hao watu? Sijawahi hata kuwasikia! Wanaogopwa kwa lipi hasa?
Objective football
uchawi pia hawapendi mgeni afanye maendeleo iwe kuvuta umeme, maji ama kujenga utapugwa vimbora mpaka basiWanapatikana wapi hao watu? Sijawahi hata kuwasikia! Wanaogopwa kwa lipi hasa?
Objective football
tanzania kubwa hiiAsee hao sijawahi kuwasikia
hili taifa lina kila aina ya watuduh hv ndo walisa tuna makabila zaidi ya 250 eenh
karibu ileje mkuuKuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.
Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
Mbona wana wivu wa hovyo kiasi hichoWanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Wapo wilaya ya kilindi, pia Gairo na maeneo ya kiteto na Turiani morogoroWanapatikana wapi hao watu? Sijawahi hata kuwasikia! Wanaogopwa kwa lipi hasa?
Objective football
Huyo Mungu mbona anashindwa kulinda watoto vitani au kwenye mafuriko na matetemeko.Kuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.
Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.