Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Ndio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.

Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.

Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi.
Mbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu
 
Mbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu
Hio ya mbeya asante kwa kunirekebisha..
Hao wambugu wapo, ni tofauti na wabungu na ni tanga huko, ni jamii ya wairaki na wamburu.
 
Mbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu

Wambugu wako.
Nafikiri ni mchanganyiko wa Wapare na Wasambaa. Wapo Lushoto
 
Kuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.

Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
bado hujaitembelea tanzania ndugu yangu!
 
Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
mwanangu wewe kweli unawafahamu hawa jamaa case closed. hata huku niliko kila mtu anawakimbia

wapo tanga,gairo,manyara
 
Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
uliwazaje kuishi nao mkuu??
 
Back
Top Bottom