Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
Dah umenikumbusha Mziha...[emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gairo imesaidia sana kuwepo kwa uhamiaji wa wafanyabiashara toka makabila mbalimbali ndiyo WAMEIKUZA GAIRO na kubadilisha kabisa na kufanya eneo la UNGU ROAD kuwa la KIBIASHARA.

Imebaki ni historia na chokochoko za hapa na pale zilizoko kila eneo ambalo kuna wenyeji wachache mf MBAGALA hivi sasa WAHA toka Kigoma walivyowanyoosha WANDENGEREKO na viuchawi vyao vya CHUMA ULETE hivi sasa MBAGALA ni biashara kwenda mbele.

Vimebaki vichuma ulete vya hapa na pale, hivyo muingiliano wa makabila ni jambo jema sana.
 
Ndio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.

Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.

Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi.
Wanyantuzu siyo kabila ni wasukuma wanaotokea ntuzu
Si unajua huku usukumani wanatambulishana kikanda utasikia bhana keya bhana dakama bhana ng'weli bhana sukuma bhana suguma bhana shashi
 
Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
Wanguu Ni wazigua.
Mfano hayo maneno yote hapo juu kuanzia ugona vihi?
Umeamkaje? Kudya kula, dimwenga, limoja, chite twende Ni kizigula piwa.
 
Kuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.

Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
Kuna kipindi niliwahi kwenda Handeni ndani ndani kidogo niliambiwa kuhusu Hilo kabila. Hao hata mambo ya elimu hawataki kabisa. Hawataki wageni na ni kama wamejitenga. Hilo eneo nililofikia ndo Lina mahitaji yote so hata Wangu huja na kujumua bidhaa. Ila hawana masihara hata kidogo. Ni kweli haifai kuwaogopa lakini ni Bora nusu Shari kuliko Shari kamili mkuu. Biblia inasema uwe mwenye kujihadhari kama nyoka na usiwe na hatia kama njiwa. Lisemwali lipo ila usipozingatia Kuna wakat hata Mungu mwenyewe kwenye hayo mazingira hawezi kukusaidia
 
Kuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.

Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.
 
Ukiwajulia Wanguu ni watu poa sana! Wasichopenda ni dharau na majivuno

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Pia hawapendi dhuluma na wizi. Ukimuibia Mnguu kazi unayo. Wanaogopeka vibaya mno! Sema wengi Kule hawapendi elimu. Wao ni elimu ya Quran tu. Ndio sababu baadhi ya wadau wanasema Wana wivu sana na hawapendi maendeleo. Chanzo nadhani kwa hao baadhi ni elimu tu
 
Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Ni kuwaua tu ndio dawa yao
 
Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Ningekuwa namiliki mtaa wangu ningeomba hao mniletee mimi huku
 
Wanguu wamejazana pale Gairo, ila wengi wanatokea mji wa Songe wilaya ya kilindi.

Wanguu ni wabishi, wanguu wana umwinyi sana, wanguu hawakubali mabadiliko.

Gairo wakapewa mtaa wa unguu road, hapo wamejazana sana.

Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
 
Kuna kipindi niliwahi kwenda Handeni ndani ndani kidogo niliambiwa kuhusu Hilo kabila. Hao hata mambo ya elimu hawataki kabisa. Hawataki wageni na ni kama wamejitenga. Hilo eneo nililofikia ndo Lina mahitaji yote so hata Wangu huja na kujumua bidhaa. Ila hawana masihara hata kidogo. Ni kweli haifai kuwaogopa lakini ni Bora nusu Shari kuliko Shari kamili mkuu. Biblia inasema uwe mwenye kujihadhari kama nyoka na usiwe na hatia kama njiwa. Lisemwali lipo ila usipozingatia Kuna wakat hata Mungu mwenyewe kwenye hayo mazingira hawezi kukusaidia
yani mm niliendaga kujitafuta kanda fulani haloo kila mtu anawaogopa! sasa sijui kama wao wanataarifa hizi?

yani kila mtu alisema hapo usijaribu,na nikwelii hata wiki nikaamua kusepa nikaenda kuishi mbali na eneo lao
 
Wanguu wamejazana pale Gairo, ila wengi wanatokea mji wa Songe wilaya ya kilindi.

Wanguu ni wabishi, wanguu wana umwinyi sana, wanguu hawakubali mabadiliko.

Gairo wakapewa mtaa wa unguu road, hapo wamejazana sana.

Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
hahaaa ,kwahiyo mkuu muha ndio anambinu zote za kuishi nao?
 
Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.
huyo si ana route za africana,mbudiya,posta na mbweni atajuaje life la mkoani!
 
Back
Top Bottom