Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Dah umenikumbusha Mziha...[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
Sent using Jamii Forums mobile app