Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #61
madam karibu kilindi ,gairo,kiteto uone wanavyo ogopwaUchawi ni mwanAdamu hakuna mtu anayependa maendeleo ya mtu ni basi tu hujajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madam karibu kilindi ,gairo,kiteto uone wanavyo ogopwaUchawi ni mwanAdamu hakuna mtu anayependa maendeleo ya mtu ni basi tu hujajua
Ukiwa na Yesu,plus kujiamini wakifanya maujinga yao utawashindamadam karibu kilindi ,gairo,kiteto uone wanavyo ogopwa
Wewe hunijui, labda huwa unanisikia tuhutoboi mkuu ,utahama wewe
Wangulu (au Wanguu) ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi mipakani mwa mikoa minne ya Tanga, Dodoma, Manyara na Morogoro, hasa upande wa Kusini-Magharibi mwa mkoa wa Tanga ambako sasa ni wilaya ya Kilindi na upande wa Kaskazini-Mashariki mwa mkoa wa Morogoro ambako sasa ni wilaya ya Mvomero na milima ya Nguu. Upande wa Magharibi ni mkoa wa Manyara ambayo sasa ni wilaya ya Kiteto.madam karibu kilindi ,gairo,kiteto uone wanavyo ogopwa
Wilaya ya Kilindi, Handeni na Wilaya ya Kiteto.Wanapatikana wapi hao watu? Sijawahi hata kuwasikia! Wanaogopwa kwa lipi hasa?
Objective football
Hahaha..Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
kwahio wanguu kichwani hamnazo??Wilaya ya Kilindi, Handeni na Wilaya ya Kiteto.
Wanguu ndiyo kabila la kwanza kusaini mkataba na Karl Peters wa kutoa nchi yao kuwa mali ya Wajermani
Wanazo sema Karl Peters alikuwa mtoto wa mjini akawazidi ujanja. Kuingizwa mjini maana yake siyo kuwa hamnazo. Unakuwa umezidiwa ujanja tukwahio wanguu kichwani hamnazo??
128 chief au shule ulienda kusoma ujingaduh hv ndo walisa tuna makabila zaidi ya 250 eenh
😂😂😂 una kitu sio bure, Jipe muda hio hali itapitaawe ni kabila gani mpaka ushangae watanzania wenzako? Inawezekana we si mtanzania au umeingia mjini hivi karibuni kutoka huko kwenu ukajua Tanzania nzima ni kabila lako tu. We ni mshamba umeingia mjini kujichanganya na watanzania siku za karibuni ndio maana unawashangaa raia wenzio. Wenzako wanaifahamu nchi yao hawawezi kumshanga hata mhadzabe
kwakwelii😂😂😂 una kitu sio bure, Jipe muda hio hali itapitaa
🤣🤣mi nilienda kukua tu shule128 chief au shule ulienda kusoma ujinga
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
wehu wa kila aina yaanihili taifa lina kila aina ya watu
Waswaa....==WasafwaNdio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.
Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.
Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara babati-hydom-hanang niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi.
ndio jamii ngeni iwakimbie chief! kusingiziwa gani hukoWangulu ni watu poa sana. Hizo shutuma za watu humu ni ule ule utaratibu Wa baadhi ya jamii kujiona superior dhidi ya wengine hadi kufikia stage ya kuchafuana.
Mkuu wambugu wapo, wanaishi wilaya ya LushotoMbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu
Chukua mke wa mnguu adhabu yake unarogwa uhamie mbali kwa kutumia bunduki.Jina lako linaandikwa kwenye karatasi halafu karatasi inawekwa kwenye bomba la bunduki halafu mpiga bunduki ananuia uhamie mbali na huko unakokwenda usifanikiwe maisha na inakuwa hivyo kwa imani yao.uchawi pia hawapendi mgeni afanye maendeleo iwe kuvuta umeme, maji ama kujenga utapugwa vimbora mpaka basi