Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Mbinu gani ulitumia kuishi na kabila la wanguu? Moto wao sio mchezo!

Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Unguu road kuna kulikuwako na gulio hapo miaka ya 2006-8 nimechakalika sana hapo.
Lisemwalo kwenye mada hapo ninaweza kulikubali.
 
Ndio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.

Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.

Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara babati-hydom-hanang niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi yaani kama anatafuna moto.
😇😇🤣🤣🤣
 
Mbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu
Msafwa ni mwenyeji wa mbeya na lugha yao ndiyo asiri ya jina mbeya

Nikweli Hawa viumbe wanalima baraa Nina Imani alikuwa anawa zungumzia hao mkuu
 
Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.
Mlishindwa kuroga wakoloni wafe, makatawaliwa na viboko juu, huo uchawi uko wapi? uliwasaidia nini? uchawi ni mambo ya ulimwengu wa roho, mambo ya kiroho yanahitaji imani , ndio maana wazungu hamuwezi waroga walishatoka huko kwenye huo upumbavu na hawaamini, mi siwezi rogwa leta mchawi yeyote.
 
Wanguu wamejazana pale Gairo, ila wengi wanatokea mji wa Songe wilaya ya kilindi.

Wanguu ni wabishi, wanguu wana umwinyi sana, wanguu hawakubali mabadiliko.

Gairo wakapewa mtaa wa unguu road, hapo wamejazana sana.

Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
Muha nae ni moto hatari ogopa makabila yote kanda ya ziwa yanawaogopa...wazee wa burundi hao
 
Hii nchi kubwa aiseeh, sikuwahi elewa kama kuna jamii zinazoogopwa na watu wengine namna hii!

Yani kila mtu anakwambia hapa wamejaa wanguu huwezi ishi hapa kimbia haraka!
Wanguu ni kabila la mkoa gani hapa Tanzania maana ndiyo kwanza nawasikia
 
Back
Top Bottom