Dah umenikumbusha Mziha...[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
PRIDE VS PROUDUkiwajulia Wanguu ni watu poa sana! Wasichopenda ni dharau na majivuno
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyantuzu siyo kabila ni wasukuma wanaotokea ntuzuNdio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.
Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.
Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi.
Wanguu Ni wazigua.Ugona vihi,kudya,dimwenga,maidi,chite,wahitahi,ulonga mbwai,manyeweye etc
hao jamaa wapo maeneo ya kuanzia mvomero,tuliani kibati Hadi mziha, wakati mwingine wanajiita wazigua, Kuna wangulu pia huko kibogoji,pandambili,tembo mchafu Hadi Pemba. Nimeishi nao zaiid ya miezi 10
Kuna kipindi niliwahi kwenda Handeni ndani ndani kidogo niliambiwa kuhusu Hilo kabila. Hao hata mambo ya elimu hawataki kabisa. Hawataki wageni na ni kama wamejitenga. Hilo eneo nililofikia ndo Lina mahitaji yote so hata Wangu huja na kujumua bidhaa. Ila hawana masihara hata kidogo. Ni kweli haifai kuwaogopa lakini ni Bora nusu Shari kuliko Shari kamili mkuu. Biblia inasema uwe mwenye kujihadhari kama nyoka na usiwe na hatia kama njiwa. Lisemwali lipo ila usipozingatia Kuna wakat hata Mungu mwenyewe kwenye hayo mazingira hawezi kukusaidiaKuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.
Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.Kuogopa binadamu mwenzako kisa ni mchawi ni uzwazwa tu, muogope Mungu, siwezi shindwa kufanya nikipendacho au maendeleo kisa naogopa mchawi, huo uchawi mbona wanashindwa kuroga tufuzu world cup? wachezaji wapewe dawa akiingia uwanjani anafanya maajabu.
Lakini na uchawi huo wote ambao huwa nausikia kwenye story mzungu katuacha mbali sana kwenye kila nyanja, hizi ni imani tu.
Wengine wanajamba povu maana njaa imezidihata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Hilo eneo la kwediboma ndo wamejazana sana ila Kuna mchanganyiko wa makabila mengi Sasa hivi. Hilo eneo kila baada ya nyumba 3 Kuna mganga wa kienyeji na maduka ya kununulia vifaa vya waganga. Aiseee Tanga uchawi nje njeNikisikia wanguu aka wazigua nakumbuka Tanga kilindi, kwediboma
Ni kweli kabisa. Pia hawapendi dhuluma na wizi. Ukimuibia Mnguu kazi unayo. Wanaogopeka vibaya mno! Sema wengi Kule hawapendi elimu. Wao ni elimu ya Quran tu. Ndio sababu baadhi ya wadau wanasema Wana wivu sana na hawapendi maendeleo. Chanzo nadhani kwa hao baadhi ni elimu tuUkiwajulia Wanguu ni watu poa sana! Wasichopenda ni dharau na majivuno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kuwaua tu ndio dawa yaoWanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
Ningekuwa namiliki mtaa wangu ningeomba hao mniletee mimi hukuWanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
yani mm niliendaga kujitafuta kanda fulani haloo kila mtu anawaogopa! sasa sijui kama wao wanataarifa hizi?Kuna kipindi niliwahi kwenda Handeni ndani ndani kidogo niliambiwa kuhusu Hilo kabila. Hao hata mambo ya elimu hawataki kabisa. Hawataki wageni na ni kama wamejitenga. Hilo eneo nililofikia ndo Lina mahitaji yote so hata Wangu huja na kujumua bidhaa. Ila hawana masihara hata kidogo. Ni kweli haifai kuwaogopa lakini ni Bora nusu Shari kuliko Shari kamili mkuu. Biblia inasema uwe mwenye kujihadhari kama nyoka na usiwe na hatia kama njiwa. Lisemwali lipo ila usipozingatia Kuna wakat hata Mungu mwenyewe kwenye hayo mazingira hawezi kukusaidia
hahaaa ,kwahiyo mkuu muha ndio anambinu zote za kuishi nao?Wanguu wamejazana pale Gairo, ila wengi wanatokea mji wa Songe wilaya ya kilindi.
Wanguu ni wabishi, wanguu wana umwinyi sana, wanguu hawakubali mabadiliko.
Gairo wakapewa mtaa wa unguu road, hapo wamejazana sana.
Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
hahaaa ,kwahiyo mkuu muha ndio anambinu zote za kuishi nao?
hutoboi mkuu ,utahama weweNingekuwa namiliki mtaa wangu ningeomba hao mniletee mimi huku
utauwawa wewe chiefNi kuwaua tu ndio dawa yao
huyo si ana route za africana,mbudiya,posta na mbweni atajuaje life la mkoani!Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.