Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 1,226
- 1,757
Wanguu wa Songe wanaroga hata uwe ofisa wa serikali hawaogopi.Hii nchi kubwa aiseeh, sikuwahi elewa kama kuna jamii zinazoogopwa na watu wengine namna hii!
Yani kila mtu anakwambia hapa wamejaa wanguu huwezi ishi hapa kimbia haraka!
hahaaa dahWanguu wa Songe wanaroga hata uwe ofisa wa serikali hawaogopi.
Unguu road kuna kulikuwako na gulio hapo miaka ya 2006-8 nimechakalika sana hapo.Wanguu sio poa nakumbuka hawa watu walihamia pale gairo enzi hizo ikabidi wakagulu wote wasepe kuwaachia mtaa maana hao walikuwa ni shida wakikuona unakula ugali dagaa kosa, ugali samaki kosa, umenunua nguo mpya kosa mtoto wako anafanya vizur darasani kosa, ukifanya hvi kosa hata akikusikia umeenda chooni na ukajamba kwa nguvu kosa maana anajua unakula unashiba.
Kwa vitimbwi vyao hvo ndio maana mpaka leo gairo kuna mtaa wanaita UNGUU ROAD. maana walibaki wenyew wazawa wakakimbia
moto wao sio mchezoUnguu road kuna kulikuwako na gulio hapo miaka ya 2006-8 nimechakalika sana hapo.
Lisemwalo kwenye mada hapo ninaweza kulikubali.
Ileje kuna jamii ya watu wa hovyo sana.karibu ileje Mkuu
wasafwa wamoto mkuu??Ileje kuna jamii ya watu wa hovyo sana.
Ndio nawasikia leo,
Kuna kabila lipo mbeya, tofauti na wanyakyusa sijui ndio Waswaa mtanirekebisha kama sio nalo nimelisikia juzi, wansema kazi yao kubwa ni kulima, wanalima kama misukule, ni native sana.
Wanyantuzu nao nimewajua hivi karibuni, naambiwa ni jamii ya wasukuma..
Kuna wambugu nao..
Halafu kila wale unaambiwa ni wachawi.
Yaani hii nchi kuleta umoja na kuongea lugha moja ni jambo gumu sana, unakutana na kabila wanaongea kama wanatapika.
Hapo Manyara babati-hydom-hanang niliona watu wanaongea nikadhani anatema ulimi yaani kama anatafuna moto.
😇😇🤣🤣🤣
Wasafwa hawatoki ilejewasafwa wamoto mkuu??
Wandali ...duuhWasafwa hawatoki ileje
Hao wanatoka MBEYA mjini chunya na mbeya vijijini
Ileje wenyeji ni wandali
Wakundashi
wamejizima dataKwahyo humu JF hakuna Wanguu...
Wanapatikana wilaya handeni na kilindi hii ni jamii ya wazigua wengi wao ni wachawi sanaWanapatikana wapi hao watu? Sijawahi hata kuwasikia! Wanaogopwa kwa lipi hasa?
Objective football
Msafwa ni mwenyeji wa mbeya na lugha yao ndiyo asiri ya jina mbeyaMbeya hamna Waswaa! Au unawasema Wasafwa?! Na hao wasafwa sio native kiasi hicho unachosema wewe! Hao ndio wazawa wa mkoa wa Mbeya na wapo sehemu kibao tu za mkoa wa Mbeya! Uliza vizuri! Pia hamna Wambugu,kuna Wabungu hao origin yao ni hukoo Chunya kwenye dhahabu
Mlishindwa kuroga wakoloni wafe, makatawaliwa na viboko juu, huo uchawi uko wapi? uliwasaidia nini? uchawi ni mambo ya ulimwengu wa roho, mambo ya kiroho yanahitaji imani , ndio maana wazungu hamuwezi waroga walishatoka huko kwenye huo upumbavu na hawaamini, mi siwezi rogwa leta mchawi yeyote.Wew MTU umekulia mbezi beach uchawi utausikia wapi! Njoo bariadi huku ujifunze maisha tofauti na hayo , mwenyewe utakili kwa kinywa chako kuwa uchawi upo na utaanza kuuogopa kuanzia hapo na hizo Rambo zako zitakoma kuanzia hapo.
Muha nae ni moto hatari ogopa makabila yote kanda ya ziwa yanawaogopa...wazee wa burundi haoWanguu wamejazana pale Gairo, ila wengi wanatokea mji wa Songe wilaya ya kilindi.
Wanguu ni wabishi, wanguu wana umwinyi sana, wanguu hawakubali mabadiliko.
Gairo wakapewa mtaa wa unguu road, hapo wamejazana sana.
Namna nzuri ya kuishi na wanguu inabidi tuwaulize Waha. Waha wakifika kwa hao wanguu, wanguu wanachutama.
Wanguu ni kabila la mkoa gani hapa Tanzania maana ndiyo kwanza nawasikiaHii nchi kubwa aiseeh, sikuwahi elewa kama kuna jamii zinazoogopwa na watu wengine namna hii!
Yani kila mtu anakwambia hapa wamejaa wanguu huwezi ishi hapa kimbia haraka!