Mbinu nayotumia kumlea mwanangu anayesoma private awe mjanja, awe na furaha, asigeuke kuwa kuku wa kisasa

Mbinu nayotumia kumlea mwanangu anayesoma private awe mjanja, awe na furaha, asigeuke kuwa kuku wa kisasa

Kuwa mcheshi kunategemeana sana na idadi ya watu waliopo kwenye circle yako

Una ushahidi wowote wa kisayansi au ni maoni/hisia zako?

Ushahidi wa gaming addiction upo mkuu cheki huyo youtube kuna kitu kinaitwa gaminga addiction na ni tatizo kubwa mno kwenye nchi za ulaya kiasi kwamba kuna rehabs kabisa, Hawa watoto wa ist wapo exposed sana nagames na kuna mtu nadhani alikuwa staff pale ist alitoa maoni jinsi games zinavyoharibu watoto pale.

Sijui aina ya maisha na jamii inayokuzunguka. Lakini michezo hiyo ni vitu vya kawaida miongoni mwa jamii fulani, sidhani kama hiyo michezo imesababisha madhara kwa kiwango hicho unachotaka kuonyesha. Neno kubwa mno ni linganifu, ni kwa kiasi gani limesababisha shida ulaya?

Siwezi kulea mtoto kizungu yaani kitoto kipo 15 kinaniletea eti boyfriend wake no, no, no. Situmii sana mdomo kwenye matatizo serious huwa natia mboko.

Nachelea kusema hata malezi ya kizungu unayosema, sidhani kama unaweza kusema ni malezi ya namna gani. Hata viboko ni sehemu ya kumpa furaha mtoto?
 
Una ushahidi wowote wa kisayansi au ni maoni/hisia zako?



Sijui aina ya maisha na jamii inayokuzunguka. Lakini michezo hiyo ni vitu vya kawaida miongoni mwa jamii fulani, sidhani kama hiyo michezo imesababisha madhara kwa kiwango hicho unachotaka kuonyesha. Neno kubwa mno ni linganifu, ni kwa kiasi gani limesababisha shida ulaya?



Nachelea kusema hata malezi ya kizungu unayosema, sidhani kama unaweza kusema ni malezi ya namna gani. Hata viboko ni sehemu ya kumpa furaha mtoto?
Mkuu naona kila mtu achukue uamuzi wake, we kalee mtoto wako kizungu, huko hata mtoto akiwa shoga wazazi kama wewe mnachukulia kawaida.

Umekamatwa kichwa kweli kweli na wazungu, nimeona waafrika wengi wakijisifu kulea kizungu wakati wazungu hawana muda kabisa wa kusifia malezi ya kiafrika.
 
Kumfuga mtoto kama kuku wa amadori kuna madhara Sana akikutana na wababe siku moja wakimuonyesha mjusi tu mtoto anaogopa wanaweza kumfanyia vitu vingi wakamla hadi0712

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona kila mtu achukue uamuzi wake, we kalee mtoto wako kizungu, huko hata mtoto akiwa shoga wazazi kama wewe mnachukulia kawaida.

Hujajibu, malezi ya kizungu ni yapi? Mashoga wako uzunguni tu? Unakumbuka mahojiano ya mtangazaji wa Clouds TV Zamaradi na yule shoga, je alikuwa ni matokeo ya malezi ya kizungu? Tatizo ni uzungu, malezi ya kizungu au vyote?
Unaamini kabisa viboko na kusoma shule ya watoto wengi ndiyo itamzuia mwanao asiwe shoga?

Umekamatwa kichwa kweli kweli na wazungu, nimeona waafrika wengi wakijisifu kulea kizungu wakati wazungu hawana muda kabisa wa kusifia malezi ya kiafrika.

Duh! Wapi hapo ambapo unahitimisha kuwa nimekamatwa kichwa na wazungu? Bado sijaona hoja za msingi sana kusimamia uzi wako. Ni hisia ambazo huwezi kuthibitisha wewe mwenyewe wala kupitia maandiko au tafiti.
 
Hujajibu, malezi ya kizungu ni yapi? Mashoga wako uzunguni tu? Unakumbuka mahojiano ya mtangazaji wa Clouds TV Zamaradi na yule shoga, je alikuwa ni matokeo ya malezi ya kizungu? Tatizo ni uzungu, malezi ya kizungu au vyote?
Unaamini kabisa viboko na kusoma shule ya watoto wengi ndiyo itamzuia mwanao asiwe shoga?



Duh! Wapi hapo ambapo unahitimisha kuwa nimekamatwa kichwa na wazungu? Bado sijaona hoja za msingi sana kusimamia uzi wako. Ni hisia ambazo huwezi kuthibitisha wewe mwenyewe wala kupitia maandiko au tafiti.
Mkuu mbona umepanic, mi naona tutaanzisha uzi maaulum siku nyingine tuendeleze hii session yetu.

For the mean time we endelea kulea watoto kizungu, wenzetu hata watoto wao wakianza kuf*rwa na wanaume wenzako wazazi wana accept, kwa vile wewe unalea kizungu najua utakuwa huna tatizo na hili, hali hii ikimkuta mwanzo usisite kunistua nimsaidie kutafuta wenye mpini wa haja
 
For the mean time we endelea kulea watoto kizungu, wenzetu hata watoto wao wakianza kuf*rwa na wanaume wenzako wazazi wana accept, kwa vile wewe unalea kizungu najua utakuwa huna tatizo na hili, hali hii ikimkuta mwanzo usisite kunistua nimsaidie kutafuta wenye mpini wa haja

Ninasikitika umeanzisha uzi lakini umeshindwa hata kutoa tafsiri yako ya malezi ya kizungu, nawezaje kukasirika wakati hata wewe mwenyewe unaonekana unaongelea hisia zilizotengenezwa na mazingira na/au masaibu yako. Na ninathibitisha hii na majibu yako hapo juu. Kama unawafahamu hata wanaofanya hivyo, inawezekana kabisa wakawa ndiyo hatari kwa mtoto/watoto wako.

Kukushauri, fanya bidii kuongeza kipato umpeleke mtoto wako shule bora. Hutajuta.
 
Huyu mleta uzi hajui hata anaongelea kitu gani. Nimejaribu kutafuta hoja yake na na aina ya malezi anayoyataka sioni point ndani yake.
Nimemuuliza swali kapiga chenga, nilitaka aniambie mtoto wa kike atamlea kwa mazingira yapi hakuwa na jibu.

Mwishoni nimegundua kwamba huyu kijana ndio kwanza kapata katoto kamoja ka kiume hivyo akili yake inamwambia kwamba watoto wote ni wakiume. Kiufupi hajawa na watoto mchanganyiko, bado ametawaliwa na ulimbukeni ambao hauwezi kuisha leo.

Pia nimegundua mleta uzi anakosa exposure. Maisha ya kijijini yamemuathiri sana kiasi anahamishia hasira za maisha yake ya dhiki kwa mtoto.

Karne hii ya leo bado mzazi unafundisha mtoto kuwinda ndege.? Kuogelea kwenye madimbwi ya vinyesi?

Unajivunia mtoto kwenda shule kwa mguu?

Mchawi wa maisha ni pesa.
Ninasikitika umeanzisha uzi lakini umeshindwa hata kutoa tafsiri yako ya malezi ya kizungu, nawezaje kukasirika wakati hata wewe mwenyewe unaonekana unaongelea hisia zilizotengenezwa na mazingira na/au masaibu yako. Na ninathibitisha hii na majibu yako hapo juu. Kama unawafahamu hata wanaofanya hivyo, inawezekana kabisa wakawa ndiyo hatari kwa mtoto/watoto wako.

Kukushauri, fanya bidii kuongeza kipato umpeleke mtoto wako shule bora. Hutajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uwe unaongea vitu ambavyo unajua kabisa ni kawaida kwenye jamii ya Tz.

Huko kwenye elimu ya ulaya naona umekula ugali kwa shangazi hapo umeshiba upo na toothpick unachokonoa nyaman mkono mwengine ndio unaandika huu upuuzi.

Tukianza hapa hapa tu ndani, Shule kama walizosoma kina pfunk na mo dewji ada ni milioni 30 na elimu ni hadhi ya juu ila ukicheki sasa, watanzania unakuta ni wawili tu darasani kati ya wanafunzi 25, na hao wazazi wao wana pesa sio mchezo.

Uwe unaongea vitu parallel kidogo ambavyo vimeendana kidogo na maisha ya mtz, Huko ulaya uanafkiri mtoto anasomeshwa kwa mapera au???

Kuhusu elimu ya hapa kwetu sioni utofauti kabisa kati ya elimu niliyosomea mimi na hii anayosomea mambo ni yale yale na huwa namfundisha mwenyewe.

Sema mtoto wako umemsomesha kwa urefu wa hela yako,then nyamaza!

Sio unakandia wenye uwezo wa kutoa milioni 30!

Huna,peleka huko machochoroni,then funga domo!

Mengine unayoongea ni makelele matupu!


“Maisha ni Safari Ila Sio Wote Wana Nauli”
 
Kumfuga mtoto kama kuku wa amadori kuna madhara Sana akikutana na wababe siku moja wakimuonyesha mjusi tu mtoto anaogopa wanaweza kumfanyia vitu vingi wakamla hadi0712

Sent using Jamii Forums mobile app

Definition ya kumfungia mtoto ni ipi?

Tupe kiasi in numbers kumfungia ni kiasi gani na kumuachia ni kiasi gani

Maana naona tunaongea generally tu,principally kwa macho yenu ni kwamba anaefungiwa ni tajiri na anaeqchiwa ni masikini

Deep down hapa hata sio kweli mnamaanisha hizi definitions,ni vita yenu ya kiuchumi na upper class!

Which is stupidity beyond everybody!

Sisi waswahili tuna vituko sana,jirani yako ana geti kubwa na nyumba kubwa zaidi yako utaanza kejeli “anafungia watoto” huku takwimu huna hata moja!

This is nonsense!
 
Hata kuwa shoga kabisa...... Lazima mtoto mfundishe mazingira yote yote.

Mimi sifurahii mazingira niliyolelewa yaani sijui kucheza mpira, sijui kuogelea, sijui kucheza draft wala bao, sio shabiki wampira aina yoyote yaani nipo ipo2 kidogo tena kidogo sana kwenda club au live band

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole mkuu, ila fanya juu chini mtoto wako asipitie taabu zilizokufanyia hivi vitu.
 
Definition ya kumfungia mtoto ni ipi?

Tupe kiasi in numbers kumfungia ni kiasi gani na kumuachia ni kiasi gani

Maana naona tunaongea generally tu,principally kwa macho yenu ni kwamba anaefungiwa ni tajiri na anaeqchiwa ni masikini

Deep down hapa hata sio kweli mnamaanisha hizi definitions,ni vita yenu ya kiuchumi na upper class!

Which is stupidity beyond everybody!

Sisi waswahili tuna vituko sana,jirani yako ana geti kubwa na nyumba kubwa zaidi yako utaanza kejeli “anafungia watoto” huku takwimu huna hata moja!

This is nonsense!
Kuna vitu vingine kama hujui vua chupi kaa pembeni mkuu maana vinakera sasa mtu kujifanya huvijui, Hivi hujui maana ya geti kali au ni kujifanya tu mdadisi wa tbs unaetaka viwango vyenye namba.

Hii maada sidhani kama imegusia uchumi maana ni general kabisa, watu kibao tu wa middle na upper class huku mijini sana sana wamaosomesha watoto wao private nimeshudia wakiwafungia ndani watoto wao na hii population ya watoto wanaosoma private ni ndogo sana kama asilimia 10 tu hio 90 nyingine wengi wanasoma shule za serikali na hawa wengi wapo huru sana au kwa kiasi fulani.

Your assumptions are null
 
Naona maada imeingiliwa na wanaofuga kuku wa kisasa wanatumia nguvu kubwa mno kubatilisha malezi ya kiafrika waliyolelewa hata mababu zetu wao maefocuss na haya malezi ya kizungu ambayo wazazi wanamuunga mtoto asilimia 100 hata akiwa shiga, Tuepukane na malezi ya wazungu wakuu.
 
Mwalimu wake ni physical au mtandaoni?
Mwana

ngu nilimpeleka shule ya masister iitwayo St Scolastica iko jirani na KM Ukonga. Alisoma day na kufanya vizuri sana darasa la saba. Sasa hivi yuko kidato cha tatu Morogoro, lakini kila ajapo likizo nimekuwa nikimwekea mazingira ya kujifunza WEB DEVELOPMENT na sasa amemaliza HTML, CSS3 na Javascript. Anasoma framework ili awe front end developer kabla ya kuendelea na back end. Kwa vile amependa sana na anaelewa mno kiasi cha kuanza kutengeneza portfolio yake, namwandaa kuja kusoma python na C++ baadaye.

Kufuatia kufungwa shule, hivi karibuni ataanza kutafuta kazi za mtandaoni ili atumie skills zake kujipatia kipato na kujijengea ujasiri wa kupambana sokoni.
 
Hahaha kuna mdogo wangu yuko DIT yeye asubuhi tukiamka yeye ndo analala tukienda kulala usiku yeye ndo anaamka kufanya yake
Ntaka nikupe taarifa tu, Hakuna watu ambao wapo very socially awkard kama watu wanao deal mno na computers, kuanzia hackers, software developers, n.k hawa watu asilimia kubwa mno wapo socialy awkard na ninakupa homework ufanye research,

Muwe mnawatoa toa nje watoto wenu wasishinde ndani Hayo mambo ya kujifunza lugha za computer hizo mlizozitaja ama kukesha sana na pc yanaanzaga kutenegeneza uraibu flani hivi wa kuwa na pc muda mwingi na kujitenga na jamii, Ndio maana maisha ya programmers, online workers, gamers, internet trolls, web developers wengi yanakuaga ni lonely sana na kuanza kusingizia anti social na intrivert kumbe ni maisha wanayoishi


Nawashauri watoto wenu wafanye shughuli za nje ya nyumba kuliko kukaa kaa ndani, Hayo mambo ya java script, html, n.k naona tuwaachie wenzetu wazungu ambao ni wapweke mno rafiki zao ni mbwa, Ila kama utamfundisha hakikisha ana muda wa ku participate kwenye mambo ya social.

Huyu wangu saizi kawa muongeaji na mcheshi sana na pia anaruka sarakasi na bora iwe hivi kuliko awe introverted geek
 
Kuna vitu vingine kama hujui vua chupi kaa pembeni mkuu maana vinakera sasa mtu kujifanya huvijui, Hivi hujui maana ya geti kali au ni kujifanya tu mdadisi wa tbs unaetaka viwango vyenye namba.

Hii maada sidhani kama imegusia uchumi maana ni general kabisa, watu kibao tu wa middle na upper class huku mijini sana sana wamaosomesha watoto wao private nimeshudia wakiwafungia ndani watoto wao na hii population ya watoto wanaosoma private ni ndogo sana kama asilimia 10 tu hio 90 nyingine wengi wanasoma shule za serikali na hawa wengi wapo huru sana au kwa kiasi fulani.

Your assumptions are null

Huna akili

Baada ya kujibu maswali uliyoulizwa unaanza kutukana

Sasa unataka mashindano ya matusi?

Dont even go there!

Wewe ulikua huna extra curricular plan for your kids,umekurupuka na stupid extra curricular plan then unaona umegundua gravity!

Ulichofanya kwa mwanao sio eureka,na infact ni one of the poor plans,japo ni poor kwa standards,kikwako ni yako,nobody cares!

So far hujui maana ya kufungia watoto magetini,hujui,maana huwezi kutoa definition,kwahiyo hatujui wewe unazungumzia viwango vipi na how,hivyo hatujui exactly gauge uliyopo!

Kutukana au kuona watoto wa wenzio ni kuku,ni kukoswa akili tu na ulimbukeni,keep your ass in check!
 
Back
Top Bottom