Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Umesema michoro haifanani na MTU mwingine then unasema afananishe Yake na ya mtoto. Full confussion.
 
Uwezo wa akili unatoka kwa mama, fafanua. Kuna jamaa ambae ni mkali wa namba ila mama hata kuhesabu ni shida, akazaa mtoto nae mkali wa namba. Hapo akili ya mama imechangia nini?
Mama atakuwa ni kichwa sana. Ila hakupata fursa ya kwenda shule kujifunza hizo hesabu, ama hakupata mwalimu mzuri.

Kumbuka kujua hesabu ni mpk ufundishwe.
 
Badala ya kulea kwa miaka 12 ndipo uanze kumfukuza mke na watoto kama Jeremy Njitap, ni vema ukajua mapema.
Wanaume wengi wanalea watoto sio wao! Ndo maana mimi kuna mmoja nilizaa nae mtoto wa kwanza ni pacha kabisa na mimi ila huyu wa Pili kafanya kubambikia alafu namwabia kabisa huyu wa pili sio mtoto wangu kabisa basi angekua hata amechukua vina saba vya mtoto wa kwanza napo hakuna..haya turudi ujombani na ushangazini hakuna aliyefanana nae.

Nikafatilia kwa kina kabisa Kiroho hilo swala wanasema mtoto wako hapo ni huyo mmoja tu wa kwanza huyo mwingine ana baba yake anachotaka kufanya mwanamke ni kutaka kuchuma pesa kwa kisingizio cha wa kwanza. HELL NO.

Sasa mama mtu anajitahidi kulazimisha na mimi nilishamkataa long time. Tuna mwaka wa 4 sipo nae.
Nitalea Damu yangu Tu.

NB; Wanawake hawajui tu. HAKUNA KITU KIBAYA NA NI DHAMBI KAMA KUMBAMBIKIA MTU MTOTO! Wanaume tunapenda ukweli mfate mwambie niliteleza kwa huyu mtoto hapo ndo jamaa ataamua aendelee au aache kwa kuchunguza parameters Je huyu dada ana mahusiano ya siri na huyo baba mtoto ambapo kwa asilima 99% lazima awe nayo basi unapiga chini unalea mtoto wako Before it is Too Late.

Wanawake wengine wajinga sana unaweza lea mtoto/watoto pasipo kujua na kugharamikia gharama zote alafu mwisho wa siku mkitofautiana ndo anaonesha makucha na kukwambia kwanza watoto hawa sio wako! HOW DOES THAT FEEL?
 
Mtoto wangu kafanana na mimi maskio, viganja na hata kimo 😂 naona kabisa sijapigwa.
Hizo ndo vipimo sasa ndo maana halisi ya vinasaba! Watoto wengine mpaka tembea!
Sasa unaletewa kajamaa hufanani nako ubibini hakamo, ubabuni hakamo, ushangazini/ujombani hakamo hufafani nae hata kidogo hapo lazima taa nyekundu ziwake.
Ila sasa wale wanawake janja janja wanakuwahi kwenye ushirikina ili usijue chochote.🤣
 
Hizo ndo vipimo sasa ndo maana halisi ya vinasaba! Watoto wengine mpaka tembea!
Sasa unaletewa kajamaa hufanani nako ubibini hakamo, ubabuni hakamo, ushangazini/ujombani hakamo hufafani nae hata kidogo hapo lazima taa nyekundu ziwake.
Ila sasa wale wanawake janja janja wanakuwahi kwenye ushirikina ili usijue chochote.🤣
wanakupofusha
 
Hujajibu swali langu

Je akiwa mtoto wa ndugu yako?

kipindi cha nyuma uchagani ni kawaida sana watu kula mashemeji zao. Hata baba mkwe ilikuwa rahisi kumla mke wa mwanae kutokana na kuwa watu wengi walikuwa wanaacha wake zao nyumbani

Kiasili sio njia sahihi ya kujua huyu ni mtoto wako wa damu
si bora yupo ndan ya ukoo kuliko analeta watu toka nje
 
Uwezo wa akili unatoka kwa mama, fafanua. Kuna jamaa ambae ni mkali wa namba ila mama hata kuhesabu ni shida, akazaa mtoto nae mkali wa namba. Hapo akili ya mama imechangia nini?
Nmeona tafiti mpya zinasema hiyo dhana ya mwanzo kwamba akili inatoka kwa mama si kweli.
 
Nmeona tafiti mpya zinasema hiyo dhana ya mwanzo kwamba akili inatoka kwa mama si kweli.
Tuwekee hapa tuisome mkuu. Lkn Zingatia na chombo ama taasisi ama mtu aliyefanya tafiti.

Duniani kumejaa wajanja ktk kila ngazi ya nyanja zote
 
Sasa mtoto akifanana na hata baba dogo SI Bado ni damu ya ukoo ww unachobisha ni Nini hapo?
Mtoto akifanana na baba mdogo anaweza kuwa wa baba mdogo. Je ni wa kwako?

Je kama mtoto akiwa wa ndigu yako fresh tu kisa anafanana nao?

Mkeo akiliwa na ndugu zako akawazalia wewe huna shida
 
Mbinu ninayoijua sema ni ya kiasili ,ni hivi mtoto anapozaliwa unatakiwa kuwatuma watu hawa mama yako ,bibi yako ,shangazi yako, dada mkubwa kweny familia yenu ,waende kumuona mtoto ile siku ya kwanza kabla yako wewe (baba) .

Hao wanajua kabisa hii ni damu ya ndugu yao ila kabla hata wewe kumuona mtoto ,hii mbinu wanyakyusa wanatumia sana sio rahisi kupigwa labda hawa wanaoishi mjini.
Hizi tabu zote zinatokana na jamii inayohendekeza Uzinzi na kukosa akili badala ya kazi.

Kiasi kwamba Mtoto akizaliwa hawaamini kama ni wao.
 
Hizi tabu zote zinatokana na jamii inayohendekeza Uzinzi na kukosa akili badala ya kazi.

Kiasi kwamba Mtoto akizaliwa hawaamini kama ni wao.
Sasa ndiyo hivyo tumejikuta accidentally tuko kwenye hii jamii ya hovyo. Hakuna jinsi. Tunapaswa kutafuta namna ya kuishi.
 
Back
Top Bottom