Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli mkuu. Mm sijazaliwa DanganyikaKulingana na alama za kiganja chako wewe ni damu yangu kabisa, mama yako anaitwa nani?
Kuna viungo kama vipo special ,DNA kwa africa ni utapeli hazna ukweli kwa sababu ya kampeni ya kulinda watoto wa mitaani.Haha sasa wewe unazungumza vitu huku unakataa
Umesema kuwa utafanana na baba yako na utafanana na watoto wako
Je ndugu zako hawatafanana na baba yako wala watoto wake
Je baba zako wadogo na wakubwa hawatafanan na baba yako ?
Kuchepuka na ndugu kupora lkn siyo kwa wingi. Ukiitumia mbinu hii kaa mbali na ndugu zako. Utakuwa hulei mtoto wa mtu mwingineHaha sasa wewe unazungumza vitu huku unakataa
Umesema kuwa utafanana na baba yako na utafanana na watoto wako
Je ndugu zako hawatafanana na baba yako wala watoto wake
Je baba zako wadogo na wakubwa hawatafanan na baba yako ?
Nimelitoa mitandaoni. Mm Nina miaka 91. Kiganja changu kimezeekaMleta mada hilo kono ni lako?
Mkuu utakuwa umechepuka. Mbinu hii sijaibuni mm. Ipo miaka dahali.Huu uzi ni upotoshaji mtupu. Hakuna ukweli wowote
Unazungumza tu huna hojaKuna viungo kama vipo special ,DNA kwa africa ni utapeli hazna ukweli kwa sababu ya kampeni ya kulinda watoto wa mitaani.
Kiasili binadamu wanao uwezo wa kujua mtoto hata kama wazazi wake ni mapacha ,achana na elimu ya darasani .
Kaulize wazee wanajua kabisa mtu huyo wa fulani tangu akiwa infant.
Watu wa kaskazini kuweni makini sanaMtoto wangu kafanana na mimi maskio, viganja na hata kimo 😂 naona kabisa sijapigwa.
Nikilinganisha na utundu naona kabisa balaa.Watu wa kaskazini kuweni makini sana
Hizi nyingine pia 😅😅labda kama hujui wanatest vip.Unazungumza tu huna hoja
Njia sahihi ya kujua kuwa mtoto ni wako ni njia ya kisayansi tu DNA
Hizo njia za kuangalia kwa macho kwa hao ndugu zako mbao hata shule wengine hawana ni utapeli mtupu
Kukaririr Africa kuwa DNA ni utapeli, bila ushahidi ni story za vijiweni
Sasa mtoto akifanana na hata baba dogo SI Bado ni damu ya ukoo ww unachobisha ni Nini hapo?Haha sasa wewe unazungumza vitu huku unakataa
Umesema kuwa utafanana na baba yako na utafanana na watoto wako
Je ndugu zako hawatafanana na baba yako wala watoto wake
Je baba zako wadogo na wakubwa hawatafanan na baba yako ?
Siyo kweli! Hivyo ni viganja vya mjukuu wa Puff Daddy. Wewe mmakonde na Puff Daddy wapi na wapi?Mbona hivyo viganja kwenye picha vinafanana na vyangu,kwa hiyo wewe ni mtoto wangu?
Kwa nini unataka kuingiza watu mkenge. Kama una wasiwasi mtoto siyo wako kuna njia moja nzuri sana: DNA. By the way mimi kwa kumwangalia mtoto tu mtoto naweza kuwa na uhakika ni wangu au siyo wangu. Na hii ni kwa wanaume wengi. Mtoto lazima atakuwa na vitu ambavyo atachukuwa kutoka kwa baba yake hata kama ni kidogo namna gani.Badala ya kulea kwa miaka 12 ndipo uanze kumfukuza mke na watoto kama Jeremy Njitap, ni vema ukajua mapema.
Moja ya vitu vya lazima ambavyo mtoto huchukua toka kwa babake ni michoro ya viganjani. Trust me bro!Mtoto lazima atakuwa na vitu ambavyo atachukuwa kutoka kwa baba yake hata kama ni kidogo namna gani.
Kuna reserch zimeshafanyika na sivyo unavyosema.Moja ya vitu vya lazima ambavyo mtoto huchukua toka kwa babake ni michoro ya viganjani. Trust me bro!