Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

Uongo mkubwa, unaweza ukawa unafanana na mtoto kwa muonekano wa nje na bado akawa siyo mtoto wako (not his or her biological father). Yawezekana mwenza wako amebebeshwa ujauzito na ndugu yako wa damu wa karibu kama vile mdogo wako au kaka yako, kisayansi mtoto aliyezaliwa bado upo uwezekano mkubwa sana wa kufanana na wewe kwa sifa za muonekano wa nje na hata kwa baadhi ya sifa za za ndani yaani kwa kiasi Fulani kutakuwa na mfanano wa baadhi ya sifa ktk mpangilio wa DNA kati ya yako na huyo mtoto ingawaje mtoto siyo wako.
Katika kupima DNA, kuna vipengele 15 ambavyo ni LAZIMA vyote vioane kwa baba na mtoto ili kuthibitisha uhalali wa ubaba wa mtoto husika.
Sikupingi lakini unaona ulichosema hapo, kwamba katembea na ndugu yangu lakini mwisho wa siku mtoto wa kwako ukimuona tu utamjua

Just a point of information,DNA test inahaminika katika kubaini mtoto wa nani lakini mara nyingi results zake zinakuwa modified kwa sababu za kiusalama kati ya wazazi wa mtoto na mtoto pia.Kikubwa kama unaweza kulea mtoto fanya hivyo tu labda kama utapata changamoto ambazo zitakulazimu kufanya tofauti
 
Njia ya kienyeji ya kujua mtoto sio wako siki akizaliwa kwa mara ya kwanza akianza kujua kufungua macho na kumwangalia mtu. Kama baba yake jaribu kumpea eyes contact huyo unaezani ni mwanao. Ukiona gafla umepata kauchachu /uchungu moyoni kama mtu alie kula ndimu au embe bichi basi nenda kapime DNA.
Haya ni madhara hasi ya kusoma katika Shule za "Kayumba," inazalisha watu wenye very low IQ, with an extremely shallow and low-sighted mind, and the lowest thinking capacity below average.
Nashukuru Mungu sana kwamba janga hili la shule za Kayumba sikuwahi kukumbana nalo ktk maisha yangu ya hapa duniani.
 
Wakuu kwema watu wengi hawajui hili kwamba mtoto akizaliwa lazima achukue group la damu kutoka kwa wazazi wake anaweza kuchukua group la mama au group la baba au aka mix kutoka kwa mama na baba pamoja.

Wale wenye wasi wasi kwamba wanalea mtoto lakin anahisi sio wake karibu PM ili niweze kuwafanyia calculation tuone group ambalo analo mtoto ni limetoka kwa nani!

Calculation hizi zinahutaji ujue group la baba, mama na la mtoto ambae unahisi sio wako

NB: hii njia sio confirmation test bali ni njia ambayo itakupa nguvu na morali ili ujitose sasa ukafanye DNA test kwa uhakika wa 95-100%
Sasa si useme hapa na wewe, watu wavumbue wanachokitafuta
 
Just a point of information,DNA test inahaminika katika kubaini mtoto wa nani lakini mara nyingi results zake zinakuwa modified kwa sababu za kiusalama kati ya wazazi wa mtoto na mtoto pia.
Siyo kweli, labda ktk hizi nchi zetu za dunia ya tatu ambako Sayansi siyo dili Bali Siasa za ghilba na uongo ndio kila kitu.
 
Alaf hata kama sio wako lakini mkeo kakuambia ni wako unapungukiwa nn kumlea kama wako tu. Ukiona mwanaume anapata shida kulea basi huyo angetakiwa awezeshwe kubeba mimba azae ili alalamike kama mwanamke......... Zamani wazee wetu walilea mpka watoto wasio wajua kwakua walikua na moyo na utu
Wazee wa zamani hawakumjua Mungu.Vijana wa leo tunamjua na kumsadiki hatutaki kulea watoto wa zinaa.
 
Haya ni madhara hasi ya kusoma katika Shule za "Kayumba," inazalisha watu wenye very low IQ, with an extremely shallow and low-sighted mind, and the lowest thinking capacity below average.
Nashukuru Mungu sana kwamba janga hili la shule za Kayumba sikuwahi kukumbana nalo ktk maisha yangu ya hapa duniani.
Sasa kayumba, na hio international or medium school, unayojisifia na kumshusha mwenzio sio kama ni jambo la msingi sana ndgu yangu...mitaa inaweza kukupa maarifa ambayo shule ilikataa....nafikiri ni vema ukaelewa si kila mtu anaweza afford kile wazazi wako walikupatia,yamkini hata hao wazazi wako hata awakusoma ila walijinyima usome tu....waheshimu watu wote elimu isikutenge
 
Haya ni madhara hasi ya kusoma katika Shule za "Kayumba," inazalisha watu wenye very low IQ, with an extremely shallow and low-sighted mind, and the lowest thinking capacity below average.
Nashukuru Mungu sana kwamba janga hili la shule za Kayumba sikuwahi kukumbana nalo ktk maisha yangu ya hapa duniani.
Sasa kayumba, na hio international or medium school, unayojisifia na kumshusha mwenzio sio kama ni jambo la msingi sana ndgu yangu...mitaa inaweza kukupa maarifa ambayo shule ilikataa....nafikiri ni vema ukaelewa si kila mtu anaweza afford kile wazazi wako walikupatia,yamkini hata hao wazazi wako hata awakusoma ila walijinyima usome tu....waheshimu watu wote elimu isikutenge
 
Chukua dushe weka hapo kwenye paji la mtoto, ila uwe na namba za wakodisha maturubai
 
Kibayolojia, wakati wa urutubishaji (fertilization) wa yai la mama ili kuunda chembe mtoto (zygote), baba huchangia vinasaba (DNA & RNA) halafu vilivyobakia hutoka kwa mama. Ndiyo maana uwezo wa mtoto ktk kupambanua mambo (wengi mnaita akili) wa mtoto hutoka kwa mama kwasabb intelligence is multifactorial.

Sasa, kila kitu kilichomo ndani ya mwili huoneshwa na maumbile ya nje ya mwili.

Mfano:-
1. Ukubwa wa moyo......sawa na ngumi.
2. Upana wa k ....sawa na midomo.
3. Upekee wa DNA ....huoneshwa na fingerprints.
4. Ukubwa wa kichwa cha dushe huoneshwa na kidole gumba.
5. N.k.

Kwahiyo ukitaka kujua kama mtoto aliyezaliwa na mkeo ni WA damu yako ama alichepuka linganisha michoro ya kiganjani kwa mtoto na ile ya kwako. Michoro hii ni kama ilivyo fingerprints, haifanani na ya mtu mwingine.

Mbinu hii imetumika na makungwi kwa karne na karne. Mtoto akizaliwa mabibi au makungwi huitwa kisha hufunua kiganja cha mkono na kuhitimisha kwa kusema "ni damu yetu" ama "siyo damu yetu"


Screenshot_20240324-104910_1.jpg
 
Back
Top Bottom